technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mayere mpaka Sasa kacheza mechi 18 kwenye mashindano yote msimu huu.
Amefunga mabao 17
Ana assist 4
Huyu mwamba mwaka huu anaweza kuweka record mpya ya upachikaji wa mabao.
Maana Ligi haijafika hata Kati Kati FA haijaanza, mapinduzi cup Bado haijaanza shirikisho ana game 6 huyu ni tishio africa kwa Sasa.
Binafsi namuombea heri. Hakika amewaziba midomo wale waliokuwa wakitukejeli na wale wachezaji wetu akina Yikpe na Sarpooong!!!Mayere mpaka Sasa kacheza mechi 18 kwenye mashindano yote msimu huu.
Amefunga mabao 17
Ana assist 4
Huyu mwamba mwaka huu anaweza kuweka record mpya ya upachikaji wa mabao.
Maana Ligi haijafika hata Kati Kati FA haijaanza, mapinduzi cup Bado haijaanza shirikisho ana game 6 huyu ni tishio africa kwa Sasa.
Huyu Mayele ni habari nyingine.Binafsi namuombea heri. Hakika amewaziba midomo wale waliokuwa wakitukejeli na wale wachezaji wetu akina Yikpe na Sarpooong!!!
Yey ndio kapiga magoli yote leoHuyu Mayele ni habari nyingine.
Yey ndio kapiga magoli yote
Tukiweka ushabiki pembeni, jamaa ni bonge la striker.Yey ndio kapiga magoli yote leo
Kudos sana kwake ckuweza kutazama mechi nilikuwa kwwnye gar naelekea simanjiro olksmetiTukiweka ushabiki pembeni, jamaa ni bonge la striker.