Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Wakati ligi mbalimbali zikielekea mapumziko, miongoni mwa ligi hizo ni NBC premier league ya 6 Kwa ubora Africa ....jambo ambalo limefanikishwa sana na Yanga since Yanga imeplay part kubwa kuijenga ligi hii
Back to the topic
Simba imeweka record mpya Duniani Kwa kuifunga magoli mengi ya penalty kuliko timu yeyote Dunian mwaka 2024/ 2025
kuanzia mwezi wa 10/ 2024 mpaka tarehe 1/1/2025 Simba wamefunga magoli 14 huku magoli ya penalty ni 12 wastani wa goli moja Kila mechi
NB: Je hii inatupa picha Gani sisi wanasimba kuelekea mzunguko wa pili wa ligi
Back to the topic
Simba imeweka record mpya Duniani Kwa kuifunga magoli mengi ya penalty kuliko timu yeyote Dunian mwaka 2024/ 2025
kuanzia mwezi wa 10/ 2024 mpaka tarehe 1/1/2025 Simba wamefunga magoli 14 huku magoli ya penalty ni 12 wastani wa goli moja Kila mechi
NB: Je hii inatupa picha Gani sisi wanasimba kuelekea mzunguko wa pili wa ligi