recruitment agencies

neyl

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
127
Reaction score
19
mambo! iv jaman hakuna recruitment agency ambayo unawapelekea cv yako zen wanakutafutia kaz kisha unawalipa percentage flan frm ur mshahara afta kuingia kazin lkn nt b4... nmechoka na ajira
 
Hapana mkuu, siku hizi tuaotoa ajila tumeshtuka hatuhitaji vyeti bali tunakuhitaji wewe mwenyewe phisically tukufanyie interview ya kuonge na kuandika na ufanye solo presentation. makaratasi hatuna haja nayo kwani viwanda vya printing vimekuwa vingi.
 
jamani wana JF.Nami natafuta kazi sasa kwa muda mrefu tu bila mafanikio yoyote.Nina bachelor ya electrical engineering na Associate degree ya nursing lakini sasa undugunization ya bongo kwa kweli inanifundisha adabu.Any suggestions or commends?
 
jamani wana JF.Nami natafuta kazi sasa kwa muda mrefu tu bila mafanikio yoyote.Nina bachelor ya electrical engineering na Associate degree ya nursing lakini sasa undugunization ya bongo kwa kweli inanifundisha adabu.Any suggestions or commends?
Duh! Electrical na Nursing ndani ya kichwa 1. Hii inaweza kuwatisha waajiri. Nakushauri uwe na cv mbili tofauti UTAPATA ajira haraka zaidi. Manake ukichanganya hivyo inaashiria instability au ukosefu wa umakini KWENYE VYOTE VIWILI. Ndo inavyoonekana kwa nje.
 
Hapana mkuu, siku hizi tuaotoa ajila tumeshtuka hatuhitaji vyeti bali tunakuhitaji wewe mwenyewe phisically tukufanyie interview ya kuonge na kuandika na ufanye solo presentation. makaratasi hatuna haja nayo kwani viwanda vya printing vimekuwa vingi.


mkuu tupe hiyo chance hata tuweze kufanya kama ulivyo suggest
 
Mkuu,shukrani kwa comment na ushauri. Ukweli ni kwamba huwa ninapoomba kazi huwa natuma CV ya kila profession,yaani CV moja tu.Nina CV mbili tofauti wala sijachanganya profession zote kwa pamoja.Ahsante kwa ushauri
 
Jiajiri you can make a good employer ten years to come. Follow bill gates theories or michael dell. You can make a good eductaed machinga who will come to own the chain malls.
 
Mkuu,shukrani kwa comment na ushauri. Ukweli ni kwamba huwa ninapoomba kazi huwa natuma CV ya kila profession,yaani CV moja tu.Nina CV mbili tofauti wala sijachanganya profession zote kwa pamoja.Ahsante kwa ushauri


White umetulia,kumbe Marekani hukwenda kucheza,saafi sana......ila ndio bongo hiii......kama vp jaribu na nje ya Tz,kama Australia,bado katika fani za Engineering demand ipo
 
jamani wana JF.Nami natafuta kazi sasa kwa muda mrefu tu bila mafanikio yoyote.Nina bachelor ya electrical engineering na Associate degree ya nursing lakini sasa undugunization ya bongo kwa kweli inanifundisha adabu.Any suggestions or commends?

Dah...umediversify toka nursing mpaka engineering anyways nakushauri kwa kazi kama za engineering omba kwanza internship kwenye kampuni huwa wanaunderpay lakini uhakika wa kutoka hapo kuajiriwa au wanakurefer kwenye kampuni nyingine ni mkubwa, uko mkoa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…