Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Simba Sc, wakiwa na faida ya magoli matatu waliyoyapata mechi ya kwanza, leo wataingia uwanja wa taifa Lusaka kucheza mechi ya marudiano dhidi ya Red Arrows kuwania kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika. Je, mnyama ataweza kulinda ushindi wake na kutinga hatua ya makundi?

Tuwe hapa kuanzia Saa 10 Jioni

====

45' Banda anaitanguliza Red Arrows kwa kuifungia goli la kwanza

47' Red Arrows wanafunga goli la pili punde baada ya mapumziko

67' Dilunga anaiwekea Simba goli la kwanza, Red Arrows 2-1 Simba
 
Mnyama anashinda 2 bila
 
Yule jamaa aliesema katoka zambia akaanzisha na siridi akuje humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…