Billy Kimber
Member
- May 20, 2022
- 89
- 207
Red Bull ni kampuni ambayo kama umefanikiwa kuona mojawapo ya matangazo yake ya kibiashara huwa yako very interesting. Inaonekana kwenye issue ya marketing wako serious na wanachokifanya.
Mwaka 1987 kwa mara ya kwanza Red Bull waliingiza bidhaa yao nchini Austria, na walifanikiwa kuliteka soko kwa muda mfupi sana kwa kutumia mbinu hii hapa chini ya kimasoko.
Walianza kutupa makopo matupu ya kinywaji hicho kwenye mapipa ya taka na madampo nchi nzima ili kuwafanya watu waanze kukiulizia kinywaji hicho wakiamini kinatumiwa na wengi.
Na kwa hakika mbinu yao ilifanya kazi kwani watu walianza kukiulizia sana na hapo ndipo kinywaji hicho kikaanza kuuzwa na kuteka soko.
Mwaka 1987 kwa mara ya kwanza Red Bull waliingiza bidhaa yao nchini Austria, na walifanikiwa kuliteka soko kwa muda mfupi sana kwa kutumia mbinu hii hapa chini ya kimasoko.
Walianza kutupa makopo matupu ya kinywaji hicho kwenye mapipa ya taka na madampo nchi nzima ili kuwafanya watu waanze kukiulizia kinywaji hicho wakiamini kinatumiwa na wengi.
Na kwa hakika mbinu yao ilifanya kazi kwani watu walianza kukiulizia sana na hapo ndipo kinywaji hicho kikaanza kuuzwa na kuteka soko.