Red Lingerie


hahahahahha lol
basi itabidi tu exchange Woodrow hahahah lol
maana nilivyokuwa na date mmhh ni red tupu
na mie nikawa addicted ajiliza comment plus nyingi
nizipatazo za rangi hiyo ziko comfortable sana mmhh
kama ulivyosema "Especially kama naenda out ) lol
 

daaahhh
sante sa NK
sikujua hairuhusiwi kuvaa red kwenye
vitu vingine vingi (twajifunza vitu vipya kila siku)
 
I love Red sooo much! .. esp. ninapotoka na bint tukielekea kwenye candle dinner kavaa RED.. najisikia kama natembea na malaika

daahhhh
samahani sana
wakati huu wote nilidhani wewe ni dada duuhhhh
 
I love Red sooo much! .. esp. ninapotoka na bint tukielekea kwenye candle dinner kavaa RED.. najisikia kama natembea na malaika



Hiyo avatar ilikua inanipoteza kabisa, i was not sure kama mdada or not..nice..
 



LOL...Look forward to that, I hope we are the same size ....
 
hahahah lol
usiwe mrefu sana tu basi..nahakika vingine vitaji solve vyenyewe hahahah lol


lol, urefu si shida, miguu si ndo inaonekana zaidi, si uliona jana mjadala wa legs ulivyoenda....lol...naamini mambo yatajisolve tu! mradi assessories na sashes ziwepo...
 
PHP:
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon4.png[/IMG] Red Lingerie [/B]

    ladies and  Gentleman 
 
leo nimeamua kuuliza kuhusu hii rangi..
kwanini au nini kinawafanya (wanaume)wapende red
utakuta mtu unaenda shopping na partner wako yeye
anakuchangulia nguo nyekundu especially kama ni Lingerie
inamaana hamjui rangi nyingine au?? vipi kuhusu yellow, purple, pink, blue etc

Kwenye michezo red inaashiria kujiamini zaidi.........yaani inaamnika kwa kuongeza kujiamini zaidi..........wapo wadada wanaovaa chupi za red siku zao za hedhi zikifika................................sijui wanaficha kitu au ni mazoea tu..............................hata Valentine the colour is red......................................kuashiria mahaba yamechemka................................................
 
PHP:
hahahah lol
mie nimeva rangi rangi tu lol

I am confidently sure it is BIG RED........underpants........................
 
lol, urefu si shida, miguu si ndo inaonekana zaidi, si uliona jana mjadala wa legs ulivyoenda....lol...naamini mambo yatajisolve tu! mradi assessories na sashes ziwepo...
My dear mie mjadala
Wa mguu niliukimbia mmhh
khaaaa na hizi njiti zangu mmhhh
Kila mtu anaya bia hahaha lol
lakini kwenye vimimi sijui short shorts
Sitoki hahahshhah lol I refused...
 


Kujiamini si ndo huko kutokana na kuwa na confidence mana tayari you know you look sexy and if you know that you feel it! Kuna vitu you can dare do if your are feeling sexy than other wise..
 
My dear mie mjadala
Wa mguu niliukimbia mmhh
khaaaa na hizi njiti zangu mmhhh
Kila mtu anaya bia hahaha lol
lakini kwenye vimimi sijui short shorts
Sitoki hahahshhah lol I refused...


LOL...Mm mwenyewe ulinishinda lakini nikawa na observe, the maoni ya guys yalikua contradictin but interesting, kuna wengine hawajali how you look au kama una vinjiti, mara ooh sura, mara ooh machine.... kweli hawa kaka zetu wanajua wao mawazo yao..

So i know you are beautiful 'just the way you are'
 

..'Perceptions and judgements' kwamba RED ni rangi ya mapenzi Ingawa pia, inaashiria hatari!:hatari:Ogopa!
I prefer white lingeries (Usafi ikiwa ni priority,) kisha 'light pink' kwa amani na utulivu.
 
Wanaume wengi sie ni COLOUR BLIND!!!!! so nafikiri RED ni rahisi sana kuitambua! pia mie binafsi mwanamke akivaa suruari NYEKUNDU basi huwa nakuwa hoiiiiiiiiiii. Si utani kumtazama tu basi network huwa juuuu sana.
 
Alafu ndugu yangu suruali nyekundu ni adimu kweli. maana ukivaa suruali nyekundu juu uvae blouzi ya rangi gani? Aaah. Nimemkumbuka jamaa mmoja mwanasheria huko Dodoma nadhani alishawahi pia kuwa mbunge siku za nyuma. Yeye anavaa full red kila siku mpaka viatu niliwahi ingia kwenye ofisi zake (ana private law firm) kila kitu chekundu. Anatisha kwa kweli. Why red?


Wanaume wengi sie ni COLOUR BLIND!!!!! so nafikiri RED ni rahisi sana kuitambua! pia mie binafsi mwanamke akivaa suruari NYEKUNDU basi huwa nakuwa hoiiiiiiiiiii. Si utani kumtazama tu basi network huwa juuuu sana.
 



Aisee kweli hata mimi suruali nyekundu sikumbuki lini kuona mtu kavaa, haya mavazi mekundu yanaitaji materials nyepesi nyepesi....NK nikiona avatar ina changes nitafurahi sana, mana hapa nashindwa kabisa kuku visualise... unanitesa kweli..
 
Nataka picha ya Hugo Chavez (nae ni mzee wa red) ila sasa mwenzako utaalamu wa IT sifuri nimeshindwa namna ya kumuweka hapo. Namzimia sana huyu jamaa na sera zake.


Aisee kweli hata mimi suruali nyekundu sikumbuki lini kuona mtu kavaa, haya mavazi mekundu yanaitaji materials nyepesi nyepesi....NK nikiona avatar ina changes nitafurahi sana, mana hapa nashindwa kabisa kuku visualise... unanitesa kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…