TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Katika hali ya kushangaza yaani isiyotegemewe hata kidogo....mtangazaji wa Redio Abood ameruhusu kusikika hewani kupitia redio hiyo methali mpya (kwangu na labda na wengine ambao walikuwa hawajawahi kuisikia). Methali hiyo imetotelewa Leo asubuhi kati ya saa 2 mpaka 3 wakati mtangazaji huyo (Mdada/Mmama) anaendesha kipindi cha Watoto.
Methali hiyo imetolewa na mtoto ambaye jina lake sikulisikia vizuri.
Methali yenyewe ilisikika hivi " UKIYATAKA YA LULU UTAKUFA KAMA KANUMBA"
Binafsi naona methali hiyo inakosa nguvu ya ustaarabu "misses moral authority" kutolewa katika jamii.
Mwanajamvi mwenzangu wewe una maoni gani ?
Methali hiyo imetolewa na mtoto ambaye jina lake sikulisikia vizuri.
Methali yenyewe ilisikika hivi " UKIYATAKA YA LULU UTAKUFA KAMA KANUMBA"
Binafsi naona methali hiyo inakosa nguvu ya ustaarabu "misses moral authority" kutolewa katika jamii.
Mwanajamvi mwenzangu wewe una maoni gani ?