Michael Bosco
Member
- Jan 10, 2010
- 86
- 47
hapo umenena kwa hili swala tuache vigezo na masharti kuzingatiwaJaman ndugu zangu, heb wote tutafakar kwa umakini jinsi ambavyo tumekua tukiishi vizuri na kwa amani na upendo siku zote bila kujali wewe ni Juma au wewe ni Joseph, nini furaha ya kutaka kuingia huku tnapotaka kwenda, ck zote najiuliza, KWANINI WANAOLALAMIKA KUONEWA SIKU ZOTE NI WAISLAM? wakristu wenye madheheb yaliyo mengi mbona hawalalamiki kuonewa? hebu tufikirie vyema ndugu zangu ndipo tuamue.
Jaman ndugu zangu, heb wote tutafakar kwa umakini jinsi ambavyo tumekua tukiishi vizuri na kwa amani na upendo siku zote bila kujali wewe ni Juma au wewe ni Joseph, nini furaha ya kutaka kuingia huku tnapotaka kwenda, ck zote najiuliza, KWANINI WANAOLALAMIKA KUONEWA SIKU ZOTE NI WAISLAM? wakristu wenye madheheb yaliyo mengi mbona hawalalamiki kuonewa? hebu tufikirie vyema ndugu zangu ndipo tuamue.
tatizo watataka zle potentia zote zwe upande wao yaan kama Dar na kanda ya ziwa kote wamiliki wao then wakristu wapewe may be nyanda za juu kusini TU. umeona hatari yake tatzo ni kwamba wao wanataka utawala wa dunia.....!!!!!!!!!!!!!!!1Nadhani wakati umefika Waislam wapewe nchi yao. Waishi wenyewe kabisa kama Somalia au Afghanista au hata Yemen. Hili linawezekana kwama Wakristu na Waislam wakiwa na nia ya dhati ya kufanya hilo. Hata kule India mwaka 1947 Waislam walitaka nchi yao na Wakapewa nchi ya Pakistan na Bangladesh na Wanaishi kwa amani tele huko peke yao bila bughudha.
Nashauri kama inawezekana Waislam na Wakristu wagawane hii nchi ili uepusha Nigeria nyingine. Iliwezekana Pakistan na India, iliwezekana Cyprus, iliwezekana Turkey na Greece walipobadilishana raia kwa kufuta dini zao(Wakristu wakaenda Greece na Waislam Wakaenda Turkey) na naimani itawezekana Kupata nchi ya Waislam na Wakristu hapa Tanzania.
mapadre wenye madegree ndo wameelimika kwa kubaka,kulawiti na kuwalala wake za watu