Redio Tanzania: Salamu za wagonjwa

Redio Tanzania: Salamu za wagonjwa

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
"Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawapa pole*2" Ajuaye bwana Mungu kuwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole*2"

Kiitikio;
Kipindi chenu kinawapa pole wote tunawapa pole, Mungu awajalieni pole*

Huo ni wimbo maarufu ambao ulikuwa ukifungua kipindi cha wagonjwa RTD kuanzia saa 4:02 asubuhi siku ya Jumapili mtunzi na muimbaji wa wimbo huo ni marehemu OMARY KUNGUBAYA ambayekifo chake kumetokea tarehe 20 Oct 2016.

Kwa ufupi mzee Kungubaya Alizaliwa 1939 ktk kijiji cha Vigolegole, Morogoro na kuanza muziki 1955 akiwa na miaka 16 ktk bendi ya Cuban Marimba chini yake Salumu Abdallah Yazidu"SAY" mzee Omary Kungubaya aliweza kuimba na kupiga vema gitaa la galatone lenye nyuzi 6, mwaka 1960 aliweza kwenda nchini Kenya kusomea muziki na hatimaye 1961 alirejea Moro na kujiunga na Kilosa Jazz akiwa sambamba na akina Yahya Abbas na Abel Balthazar
 
"Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawapa pole*2" Ajuaye bwana Mungu kuwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole*2"

Kiitikio;
Kipindi chenu kinawapa pole wote tunawapa pole, Mungu awajalieni pole*

Huo ni wimbo maarufu ambao ulikuwa ukifungua kipindi cha wagonjwa RTD kuanzia saa 4:02 asubuhi siku ya Jumapili mtunzi na muimbaji wa wimbo huo ni marehemu OMARY KUNGUBAYA ambayekifo chake kumetokea tarehe 20 Oct 2016.

Kwa ufupi mzee Kungubaya Alizaliwa 1939 ktk kijiji cha Vigolegole, Morogoro na kuanza muziki 1955 akiwa na miaka 16 ktk bendi ya Cuban Marimba chini yake Salumu Abdallah Yazidu"SAY" mzee Omary Kungubaya aliweza kuimba na kupiga vema gitaa la galatone lenye nyuzi 6, mwaka 1960 aliweza kwenda nchini Kenya kusomea muziki na hatimaye 1961 alirejea Moro na kujiunga na Kilosa Jazz akiwa sambamba na akina Yahya Abbas na Abel Balthazar
Nilikuwaga nakasirika sana, nilikuwa nakipenda sana hiki kipindi lakini kilikuwa kinaanza muda ambao ndio tunatoka kwenda kanisani, unakasirika hadi basi
 
mchezo wa mama na mwana ulikuwa na uhalisia sana mafunzo, hii wanaiya bongo muvi haina uhalisia huku mahudhui ni mpenzi tu.
Unanikumbusha kisa maarufu cha "VASELISA" tena kale kakipande "VASELISA MPENZI" hakijanitoka kwa kumbukumbu.
Ila bahati nami nilikutana na kumhudumia mama yetu Aloycia Maneno sehemu fulani hivi...
 
Shambani juma hili;
Mama na mwana;
Kipindi cha Rushwa--- 'tuambie yuko wapi, anafanya nini,....
Mama na Mwana siku ya Jumamosi saa 8 mchana. Enzi hizo tunatega madrasa ili tusikilize hadithi.

Those were the days. Maisha yalikuwa very simple, hakuna complications.
 
"Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawapa pole*2" Ajuaye bwana Mungu kuwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole*2"

Kiitikio;
Kipindi chenu kinawapa pole wote tunawapa pole, Mungu awajalieni pole*

Huo ni wimbo maarufu ambao ulikuwa ukifungua kipindi cha wagonjwa RTD kuanzia saa 4:02 asubuhi siku ya Jumapili mtunzi na muimbaji wa wimbo huo ni marehemu OMARY KUNGUBAYA ambayekifo chake kumetokea tarehe 20 Oct 2016.

Kwa ufupi mzee Kungubaya Alizaliwa 1939 ktk kijiji cha Vigolegole, Morogoro na kuanza muziki 1955 akiwa na miaka 16 ktk bendi ya Cuban Marimba chini yake Salumu Abdallah Yazidu"SAY" mzee Omary Kungubaya aliweza kuimba na kupiga vema gitaa la galatone lenye nyuzi 6, mwaka 1960 aliweza kwenda nchini Kenya kusomea muziki na hatimaye 1961 alirejea Moro na kujiunga na Kilosa Jazz akiwa sambamba na akina Yahya Abbas na Abel Balthazar
Shambani... Shambani
Shambani... Shambani
Shambani... Shambani

Mazao bora shambaaani

Haya twendeni Shambani
Wananchi tukalime
Tusikae mitaani... taani
wanawake kwa waume... waume
 
mchezo wa mama na mwana ulikuwa na uhalisia sana mafunzo, hii wanaiya bongo muvi haina uhalisia huku mahudhui ni mpenzi tu.
Kukumbuka kipindi kile ndio inadhihirika kuwa binadamu ana uwezo wa kufurahi na kuelimika kwa vitu vyepesi tu kama vikitumika kwa usahihi.

Bila hata kumuona anezungumza watoto hata watu wazima walikuwa wanafurahia kusikiliza redio.

Enzi hizo kusikiliza vipindi vya redio ilikuwa ni jambo la kifamilia. Mnajumuika wote na hii ndio sababu pekee leo hii ukikumbushia vipindi vya zamani kila mtu aliyekuwepo kipindi hicho ana anachokikumbuka.

Leo hii kuna Tv, simu na kila ghasia zilizoteka nafasi ya familia kujumuika pamoja. Watu wanaishi nyumba moja lakini kila mtu na ulimwengu wake.
 
Mwenye hadithi ya , safari za hatari za kijana akajase mbamba naomba ananipe link
Ilisomwa katika kipindi cha mama na mwana enzi hizo
 
Sometimes am just wondering wenye hizi sauti, where are they now? Wanaishi maisha gani na wanafanya nini? 😌😌...
Maisha bana, nafsi ikiguswa you just wish yale maisha yarudi tena, hata kama yalikuwa magumu ila utoto raha sana....
my wishes ila ndio ishapita hiyo, wengi wameishia maisha mabaya, walikuwa wazee wa totoz sana"mama zetu" ndio walikuwa madem zao; wakaishia umaskini
 
Shambani... Shambani
Shambani... Shambani
Shambani... Shambani

Mazao bora shambaaani

Haya twendeni Shambani
Wananchi tukalime
Tusikae mitaani... taani
wanawake kwa waume... waume
Unanikumbusha mbali sana, hapo wanachambua zao moja , wadudu wanaoshambulia, dawa, yani mtu unaiva sasa hivi ukifungua redio UNAKUTANA NA MWIJAKU na Zembwela wanafanya mizaha na mambo ya upinde wa mvua.
 
Salam za wagonjwa, chei chei shangazi, mirindimo asilia na malima ndelema, na kipindi cha mambo hayo na Ben kiko dodoma ni vipindi vyangu pendwa enzi zetu[emoji847]
 
Back
Top Bottom