Sifahamu kama serikali ya Samia inathamini wananchi wa mikoa hii miwili katika suala la kupata habari kutoka chombo cha umma ambacho kodi zao zinachangia kukiendesha.
Usikivu wa TBC ni wa hovyo kupita maelezo na inaelekea na viongozi wa mikoa hii ama hawajali au wamekata tamaa. Nao viongozi wa TBC wamelala usingizi wa pono kama vile kila kitu kiko sawa!
Ni aibu kwa serikali hii ambayo kila kukicha ni tambo za kujisifia mafanikio yake! Sasa kama kuimarisha usikivu wa redio tu umeshindikana wananchi wa mikoa hii waiamini kwa lipi?
Wana Rukwa na Katavi wana haki ya kusikiliza redio wanayoilipia kodi na si kwamba wanaomba hisani!
Usikivu wa TBC ni wa hovyo kupita maelezo na inaelekea na viongozi wa mikoa hii ama hawajali au wamekata tamaa. Nao viongozi wa TBC wamelala usingizi wa pono kama vile kila kitu kiko sawa!
Ni aibu kwa serikali hii ambayo kila kukicha ni tambo za kujisifia mafanikio yake! Sasa kama kuimarisha usikivu wa redio tu umeshindikana wananchi wa mikoa hii waiamini kwa lipi?
Wana Rukwa na Katavi wana haki ya kusikiliza redio wanayoilipia kodi na si kwamba wanaomba hisani!