Redio za Tanzania ni vijiwe vya kahawa vilivochangamka na kulipana posho

Redio za Tanzania ni vijiwe vya kahawa vilivochangamka na kulipana posho

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Redio naskiliza kwaajili ya kupata au kukusanya habari mpya ili niifatilie kwa umakini hyo habari maana redio zetu wamejaa mbumbumbu wengi mno hawajui lolote wao wanaropoka tu hawafanyi analysis kabla ya kuja kuongea na watu wengi.

Hivi wanafikiri wasikilizaj wote ni wajinga kama wao? sio kwnye burudani, michezo,siasi kote wapo empty na ukija kimataifa ndo utachoka wengne hata kusema paragraph moja tu ya lugha ya malkia ni shida! nabaki najiuliza kwanini asingejiandaa akaweka kwenye lugha ya kiswahl unabaki unakosa majibu!

WAJINGA WAJINGA KUJAA KWENYE MEDIA HOUSE NI KULIABISHA TAIFA KWA UJUMLA NA WATU WAKE WOTE.
 
Ccm propaganda tool. Usitegemee maajab kutoka kwao.
 
Nilisha achaga kufuatilia vipindi vya redio. Wala kufuatilia habari. Kazi yangu ni kuangalia headline kwenye mitandao, itakayo nivutia ndo naitafuta credible source
 
Utoto mwingi na ujinga ujinga Kila FM radio na hata Tbccm nao wameajiri wajinga wajinga pia
 
Back
Top Bottom