Ungekuwa mwanza hiyo hela hadi sasa ungekuwa unainywa biaOngeza 140k nakuletea sasa hivi mkuu [emoji38]
ni inch 6.22" pia full specs angalia hapa : Xiaomi Redmi 8 - Full phone specificationsKioo inch ngapi
Tatizo bei ya nyanya iko juu,ningeongeza hiyo 140k!!
Hongera yako mkuu kama ulinunua kwa 250k.
Muongo huyo, hiyo 390,000 ni bei fair kabisa. Watu hawazijui hizo simu ni balaa.Hongera yako mkuu kama ulinunua kwa 250k.
Pamoja kaka, thanks kwa support ni kweli hizi simu ni mwamba sana, utofauti wa hizi na Tecno, Infinix au Itel ni processor yake ambayo ni kampuni(Qualcomm) hiyo hiyo moja inayotegeneza processor zinazorun Android kali na zinazo ongoza kwa ubora.. kama Samsung S20 iliyotoka juzi tu inatumia processor ya kampuni hiyo hiyo.Muongo huyo, hiyo 390,000 ni bei fair kabisa. Watu hawazijui hizo simu ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] haha, hamna haja ya kutolea, na kuletea ulipo, sema sharti uwe Dar na bei isiwe ya kuniumiza, hapo ongeza 80k tu.