Reds noma

byna

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
36
Reaction score
14
Nimelewa mbaya siwezi ata ku drrive leo ni noma sijui kama nitafika makongo juu, ni hatari.
 
vijana wametapakaa njia nzima ya makongo,sema unataka HIV 1 au HIV 2
 
unajua JF ni kama nyumbani tu.. kwanini usingefunguka tu vijana waje kutengeneza crush kama zile za binti fulani humu? lol

ungesaidiwa tu...
 
Haaaa haaaa reds noma?? mmmh haya bhana i think ni learner wa kunywa na kupost pia thread
 
Ni reds tu ama ulichanganya na kitu kingne
 
umeweza kuandika post gari ukashindwa kuendesha lmaooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…