Reed_blowz: Msanii kutoka Mayote anaeimba kwa lugha ya Shimaoré, yenye asili ya Kiswahili

sekulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
988
Reaction score
158
Nimeisikiliza nyimbo ya Huyu jamaa inaitwa TSENA na nilichoshangaa ni kwamba humo ndani kuna Maneno ambayo yanafanana na kiswahili na baada ya uchunguzi wangu mdogo nikagundua jamaa anaongea Lugha inayoitwa Shimaore ambayo asili yake ni lugha ya Kiswahili.

Enjoy

 
Wapemba na wangazija tu hawa japo wenyewe umejibatiza uufaransa (France )wa kuapia bado ni wangazija tu so sio kitu cha ajabu kusikia baadhi ya maneno ya kiswahili
 
Wapemba na wangazija tu hawa japo wenyewe umejipatiza ufaransa (France )wa kuapia bado ni wangazija tu so sio kitu cha ajabu kusikia baadhi ya maneno ya kiswahili
sio ajau kama unajua ila kwangu ki ukweli sikuelewa. Ila freshi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…