mwanalumango
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 232
- 279
Kuna kipindi nilikuwa nikifanyakazi kwenye operesheni ya wakimbizi huko Magharibi ya Tanzania. Kutokana na wimbi la Wakimbizi, kulikuwa na silaha nyingi sana zimezagaa na hivyo majambazi yanayosadikiwa kuwa ni wakimbizi toka nchi jirani yalikuwa yakikaa kwenye misutu minene na kuteka magari ya abiria. Moja ya ukatili waliokuwa wakiufanya ni kuwalazimisha watu wafanye tendo la ndoa na ndugu zao wa kuzaliwa au mama yako mzazi. Huwa wanauliza huyu ni na ni kwako, kwakuwa hujua utasema ni mama yangu mzazi au ni dada yangu wa tumbo moja, baada ya hapo mtutu kisogoni ukilazimishwa ufanye naye tendo la ndoa, na huwa hawatanii usipofanya ni risasi. Je hii ukikutokea wewe upo tayari kufa au kutimiza matakwa yao?