Ref: Upo tayari kufa au kufanyamapenzni na mama mzani au dada wa kuzaliwa naye


Alikua sahh kujiondoa bora ufe kuliko laana ya ainahiyo
 
Kuna wakati chachu za chukizo zinafanya binadamu asiogope kifo. Kuna uwezekano mkubwa wa kukasirishwa na amri hiyo hivyo kwa wakati huo kutoogopa kufa..
 
Hapo ninakubali kufa tu.
Lakini kwa kuwa naelewa nitakufa, sitokubali kufa ninalialia, nitawafanyie jeuri/ufedhuli wowote ili kupunguza hasira zangu.
Unakumbuka kuna sheria ya kuomba kitu cha mwisho kabla kuuliwa? Fikiria nitamwomba nini.
 

Inaelekea wewe ulifanya na mmoja wao ndo maana upo hai mpaka sasa
 

Tumia colour nyingine kwenye maandishi yako kwani hii inaumiza macho kuyasoma kwenye simu
 
lakini kuna watu wengi sana wamefanya mapenzi na kaka/dada zao, hasa utotoni watu wakiwa na umri wa miaka chini ya kumi na nne....wengi sana yaani wamewakojolea dada zao.
 
Mi najua mtu ilimtokea, waliingiliwa usiku na majambazi,
wakataka kumbaka binti yake wa miaka 17.
Akapigana nao, wakamzindi nguvu sababu ya silaha.
wakamlazimisha kumbaka mtoto wake mwenyewe.
akakataa, wakamuua na wakaondoka (bila kumbaka tena yule binti).
Hadi leo anamuona Baba yake kama hero,
na familia nzima inamheshim yule baba kama hero.
Sasa sijui angembaka ingekuaje...
 
Watu wanafanya bila kushikiwa bunduki. Wengi tu, wengine ni kutoweza kujizuia, wengine wanadanganywa na ma sangoma, wengine ni ma afiriti tu.

Wengi wao huwa hawakubali hilo, lakini ni mambo yaliopo kwenye jamii.

Kuna mtu namfahamu sana kazaa na mwanae, na mama mtu anajuwa na wanaishi pamoja wanalea mtoto mjukuu. Anasema ndio imeshatokea afanye nini? wote wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…