Refa aliyechezesha mechi ya Namungo VS Yanga afungiwe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu Refa akiachwa atakuja kusababisha mauaji ya halaiki uwanjani .

Ile penati aliyowapa yanga ni ya uongo , na bila shaka alilenga kujiurahisha yeye binafsi na familia yake , haikuwa penati na badala yake alipaswa kumlambisha kadi yule Fei Toto kwa kujiangusha .

Marefa wa namna hii wanaua soka la Tanzania , watimuliwe haraka .
 
Kauharibu mpira....leo tumebebwa sisi kesho tutakuja kuumizwa hivihivi....inasikitisha sana.

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Sitarajii kabisa kumuona akichezesha mechi yeyote ya premier league mpaka msimu unaisha, alichofanya ni ufala wa hali ya juu, kwamba yanga na Simba pekee ndizo zinazo stahili kushinda ?? .. huyu mbuzi lazima afungiwe kwa mustakabali mzuri wa soka letu ..
 
Mmeanza kubwata penalty za simba uwa mmevaa mask amzioni, yanga kafaidika na mkwaju wa penalt Kama simba inavyofaidikaga na marefa kwaiyo acheni utahaira wenu kunya anye bata akinya kuku anakuwa amekosea? Kaeni kimya pia kama mnavyoshereekeaga pindi mnavyopata penalt za kubumba
 
Watu wanaongelea masuala yanayogusa mustakabali wa soka letu sasa wewe unaandika sijui vitu gani. ?

Unafahamu maamuzi ya kipuuzi ya refaree yanaweza kusababisha hata machafuko uwanjani?

Inakatiasha morale timu ndogo kukua kisoka.

Tunasema; kunya anye kuku, akinya bata kaharisha
 
Mpira wa Tanzania kuendelea bado sana, na hawa marefa ndio wanaharibu mpira wetu maana wameathirika na majina ya timu kubwa Simba na Yanga.
Hakika komredi.....yaani jamaa wanatuharibia mpira wetu wa bongo mpaka kinyaa....daah
 
Ndo nakuuliza iyo ndo penalty yako ya kwanza kuiona isiyo halali? Jibu ilo swali kwanza maana unajitahidi kujificha kwenye kichaka cha kujifanya unaegemea mustakabali wa soka letu wakati matukio mengine kama ayo unakaa kimyaa ndo tunapata wasiwasi na hoja yako unayoibuka nayo leo
 
Goli la mchongo wazi kabisa.
Isitoshe Namungo wamenyimwa penalty mbili za wazi kabisa
 
Hivi huyu kocha (nimesikia wanamuita Kipunje) ndiye yule kocha maarufu aliyekuwa akichezesha mechi za mchangani akiwa na silaha za jadi? πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
 

Nakuapia Hapa hapa Akifungiwa nakupa 50,000,
Akikemewa nakupa 10,000
Labda cha Muhimu Aombe Msamaha kwenye runinga ndio suluhisho Au Aombe Msamaha TFF
Hawezi Kuchukuliwa hatua Yeyote amini Maneno yangu,Ninajua Kwanini!
Kazi Ilishamalizika Mapema hiyooo[emoji3516][emoji851][emoji30][emoji41]
Halafu Tunataka Kupeleka Eti Timu Kombe La Dunia...[emoji28][emoji1][emoji1][emoji851][emoji41]
 

NiamimiMimj na Atachezesha na Hakuna Wa Kumfanya Lolote...
Hawwezi Kufungiwa niamini Mimi Kaka!
Tayari Kila Kitu Kilishapangwa na Akifungiwa ni Kidogo Mnooo ili Kutomuumiza.Na Hawezi fanywa chochote niamini Mimi Kaka!
Au Tuweke Dau hapa[emoji3516][emoji41][emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…