Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Dakika ya nne ya mchezo tayari keshatoa kadi nyekundu kwa mchezaji wa Mamelodi
Beki wa Mamelodi ndiyo alicheza faulo ila haikustahili straight red card
Tunajua Al ahyl hana ujanja mbele ya mume wao Masandawana
Huwa tunajipigia nje ndani
Refa tunakuangalia kwa jicho la mwewe
Ombeno Mamelodi tusivuke hatua hii
Beki wa Mamelodi ndiyo alicheza faulo ila haikustahili straight red card
Tunajua Al ahyl hana ujanja mbele ya mume wao Masandawana
Huwa tunajipigia nje ndani
Refa tunakuangalia kwa jicho la mwewe
Ombeno Mamelodi tusivuke hatua hii