Moto wa mabua,nyuki wa mashineni nyieHayatuhusu kwa sasa...
Wana bahati sana hao wasandawana Simba ilivyo ya moto wangekufa aisee wacha watolewe tuu..
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
umeshakuja kuniqoute mr Gongowazi... 🤣 utakufa kwa stelesi ukinifatilia...Moto wa mabua,nyuki wa mashineni nyie
Wewe nilishakuambia uhamie yanga Achana makolo utapata ugonjwa wa moyo bureHayatuhusu kwa sasa...
Wana bahati sana hao wasandawana Simba ilivyo ya moto wangekufa aisee wacha watolewe tuu..
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Tuendelee hivi hivi...huku kwetu kuna raha sana mtani....kila mtu apambane na hali yake huko huko..Wewe nilishakuambia uhamie yanga Achana makolo utapata ugonjwa wa moyo bure
Akujui huyo,hunaga muda unapasua tu,,dadadeki😅😂umeshakuja kuniqoute mr Gongowazi... 🤣 utakufa kwa stelesi ukinifatilia...
Naona anatafuta mvurugano.. 🤣 🤣Akujui huyo,hunaga muda unapasua tu,,dadadeki😅😂
Mtaniii huna bayaaa...Aaaahaaaaa
Muache kwanza,subiri game yao na Al ahly atajua ajui.Naona anatafuta mvurugano.. 🤣 🤣
Leo mimi nina raha zangu sasa watu wanataka kunichagulia cha kufurahi mara ooh mmetolewa..sasa so whaaaaat...Muache kwanza,subiri game yao na Al ahly atajua ajui.
Game yao aipo mbali,watapigika warushie chupa za maji kipa wa Ahly.Leo mimi nina raha zangu sasa watu wanataka kunichagulia cha kufurahi mara ooh mmetolewa..sasa so whaaaaat...
Naisubiria mechi yao kwa hamu...
Na hivyo ni vilaza a.k.a akili mbili fc...Game yao aipo mbali,watapigika warushie chupa za maji kipa wa Ahly.