Refa Arajiga hacheki na wowote

Refa Arajiga hacheki na wowote

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Referee wa Tanzania ndugu Arajiga ndie referee katili na asiyetaka masihara na kazi yake hapa bongo ..

Huyu jamaa nilianza kumuogopa nakumuona nuksi ile Siku alipomlima kitasa Ibrahim Bacca kadi nyekundu dakika ya 16 mchezo kati ya Bingwa wa mabingwa , nguli wa soka la bongo "Yanga" " Azam fc"

Ukweli nilipomuona pilato Arajiga pale kati, nilijua kabisa gemu ya Leo dhidi ya mbumbumbu wenzetu Azam efusii imeshakua ngumu.

Hasa ukizingatia sisi Simba sc ni timu ya kuanzia ngazi ya uongozi , benchi la ufundi mpaka sisi mashabiki maandazi ..

Sisi Simba hatuwezi kushinda bila msaada wa marefa ,sababu tuna wachezaji vinyambe wanaokimbiakimbia uwanjani chezaji kama Ateba limejaa kama kiroba cha viazi litatufikisha wapi ? .

Arajiga ameifanya kazi yake vizuri na Siku ya dabi ,Yanga Africa wafalme wa soka la bongo watatupelekea moto sisi makolo mpaka maji tutaita mmaa!!
 
Referee wa Tanzania ndugu Arajiga ndie referee katili na asiyetaka masihara na kazi yake hapa bongo ..
Huyu jamaa nilianza kumuogopa nakumuona nuksi ile Siku alipomlima kitasa Ibrahim bacca kadi nyekundu dakika ya 16 mchezo kati ya Bingwa wa mabingwa , nguli wa soka la bongo "Yanga" dhidi ya shoga mwenzetu sisi makolo " Azam fc"

Ukweli nilipomuona pilato Arajiga pale kati, nilijua kabisa gemu ya Leo dhidi ya mbumbumbu wenzetu Azam efusii imeshakua ngumu. Hasa ukizingatia sisi Simba sc ni timu ya matahira kuanzia ngazi ya uongozi , benchi la ufundi mpaka sisi mashabiki maandazi akili zetu ni sawaa na abudala kichwa wazi au mwajuma Tako moja
Sisi mbumbumbu efusii hatuwezi kushinda bila msaada wa marefa sababu tuna wachezaji vinyambe wanaokimbiakimbia uwanjani kama wamebanwa mkojo..chezaji kama Ateba limejaa kama kiroba cha viazi litatufikisha wapi ?mchezaji anakimbia utasema anabawasili .
Arajiga ameifanya kazi yake vizuri na Siku ya dabi ,Yanga Africa wafalme wa soka la bongo watatupelekea moto sisi makolo mpaka maji tutaita
Hoja nzuri ila umeiwasilisha kwa lugha za kiwendawazimu
 
Inasikitisha sana.

Uandishi wa shida
Upangiliaji wa Aya wa shida
Uchaguzi wa Maneno sahihi.
Matumizi ya alama muhimu za uandishi hakuna.

Long life jamii Forum
Long life Tanzanians.
 
Referee wa Tanzania ndugu Arajiga ndie referee katili na asiyetaka masihara na kazi yake hapa bongo ..
Huyu jamaa nilianza kumuogopa nakumuona nuksi ile Siku alipomlima kitasa Ibrahim bacca kadi nyekundu dakika ya 16 mchezo kati ya Bingwa wa mabingwa , nguli wa soka la bongo "Yanga" dhidi ya shoga mwenzetu sisi makolo " Azam fc"

Ukweli nilipomuona pilato Arajiga pale kati, nilijua kabisa gemu ya Leo dhidi ya mbumbumbu wenzetu Azam efusii imeshakua ngumu. Hasa ukizingatia sisi Simba sc ni timu ya matahira kuanzia ngazi ya uongozi , benchi la ufundi mpaka sisi mashabiki maandazi .Akili zetu ni sawaa na abudala kichwa wazi au mwajuma tingisha.
Sisi mbumbumbu efusii hatuwezi kushinda bila msaada wa marefa ,sababu tuna wachezaji vinyambe wanaokimbiakimbia uwanjani kama wamebanwa mkojo..chezaji kama Ateba limejaa kama kiroba cha viazi litatufikisha wapi ? .
Arajiga ameifanya kazi yake vizuri na Siku ya dabi ,Yanga Africa wafalme wa soka la bongo watatupelekea moto sisi makolo mpaka maji tutaita mmaa!!
Kalpana ... sikiliza maneno ya mwanasimba mwenzako

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
loader.png
 
Simba kwa gemu ya jana siwadai. Mashabiki wa simba ni waelewa kuwa Azam ni mojawapo ya timu ngumu na inacheza kufa na kupona ikutanapo na Simba inakuwa mechi ngumu na nzuri.


Mechi hii naishukuru sana Azam kwa kutoa kipimo Bora kwa simba inayojiandaa na nusu fainali kombe la shirikisho la CAF.

Thanks timu ya Azam thanks kwa timu ya simba jana tulipata burudani Nzuri sana
 
Kuna baadhi ya mbumbumbu wanasema eti Arajiga ni Yanga! Wamesahau kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza wakati Yanga hiyo hiyo inafungwa na Azam, mwamuzi alikuwa ni Arajiga! Alimtoa Baka kwa kadi nyekundu baada ya kumvuta mchezaji wa Azam!

Angekuwa ana mahaba na Yanga, angeweza hata kumpa Baka kadi ya njano tu, badala ya kumtoa nje na hivyo kuidhoofisha timu.

Binafsi namkubali sana kwa sababu anachezesha mpira kwa kufuata sheria 17 za soka. Hiki ndicho wadau wengi wa michezo tunakitaka kukiona kwa waamuzi wetu.
 
Refa bomu ndio maana kashindwa kutoA penati y wazi kis ataonekana anaibeba simba kadi nyekundu kwwa feisal kwa kuogopa lawama
Fei Toto alistahili kadi nyekundu kwa kosa lipi? Halafu ni tukio gani la penati hakutoa? Maana na mimi niliungalia ule mchezo mwanzo mwisho, na sikuyashuhudia hayo matukio mawili! Na mwamuzi alikuwa fair kwa pande zote mbili! Imagine Yusuph Kagoma na mwenzake Ngoma walicheza faulo za kutosha tu, lakini hawakupewa hata kadi ya njano!

NB: yule siyo Tatu Malogo, au yule Smart tv Bro! Yule ni Arajiga Bro! So relax, ok?
 
Refa bomu ndio maana kashindwa kutoA penati y wazi kis ataonekana anaibeba simba kadi nyekundu kwwa feisal kwa kuogopa lawama
Penati unayoongelea? Ule mpira uliomgonga mchezaji wa Azam kifuani ndiyo iwe penati?
 
lazima achezeshe kwa haki kulinda CV yake..kumbukeni huyu ndio refa pekee wa kati kutoka tanzania anae aminiwa na CAF kuchezesha michuano ya CAF na AFCON ..hawezi kuharibu kuaminiwa kwake na CAF kisa mahaba ya ushabiki maandazi.
 
Mpwa hakuna offside hapo mnachora mistari kwa pensel hizo sema ingeweza kuwa offside au sio kwa wenzetu wenzetu wenye VAR sio bongo hata ule mpira alipiga Kibu Denis ilikua Offside ya wazi kabisaa ila kibendera na refa wake hawakuona kabisaa.
 
Hapa alizidiwa
 

Attachments

  • IMG-20250225-WA0011.jpg
    IMG-20250225-WA0011.jpg
    17.9 KB · Views: 2
Mimi nafurahia kuona mchezo amaochezesha Arajiga. Ni bonge moja la refa. Hizi mechi ngumu ngumu zote kwa nini wasiwe wanamchukua huyu?
ARAJIGA ndio refa bora kwa ukanda wa wa Africa mashariki. Ukiacha yule wa Sudan aliekuwa anaishi hapa nchini
 
Hapa alizidiwa
Swala la offside ni la mshika kibendera, na hata hivyo hakukuwa na offside pale mstari wako wa kujichorea hovyo hovyo ni nani aliyekwambia mistari ya offside huchorwa tu ovyo
 
Back
Top Bottom