Refa Ramadhani Kayoko jiandae kwa Albabadili

Refa Ramadhani Kayoko jiandae kwa Albabadili

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Tumeamua Sasa kukomesha tabia za kuhongwahomgwa.

Tunatambua kuwa GSM walikulipia mahari na kukolea Mke. Kisha GSM waligharamia harusi yako.

Mkataba wako na GSM ni kuhakikisha mechi zote za Simba utakazo Samamia basi Simba wasishinde.

Sasa nakupa Taarifa kuwa tumeamua kumlilia Mungu.

JIANDAE kwa Majibu makali sana.
 
aisee huu ni mpira tu si kuna watu huwa wanasema mpira ni dhambi sasa albadir na mpira vimetoka wapi na vipi mashabiki wote wa Simba niwa hiyo imani, Mungu wetu hayupo kama wewe unavyofikiri,
 
Aise leo ndio nimeamini kuna bahasha kwenye hii ligi dadeki.

Ama sivyo yule kanyiko alibeti
 
Tumeamua Sasa kukomesha tabia za kuhongwahomgwa.

Tunatambua kuwa GSM walikulipia mahari na kukolea Mke. Kisha GSM waligjaramia harusi Yako.
Mkataba wako na GSM ni kuhakikisha mechi zote za Simba utakazo Samia basi Simba wasishinde.
Sasa nakupa Taarifa kuwa tumeamua klilia Mungu.
JIANDAE kwa Majibu makali sana.
Sasa hapo kwenye "atakazo SAMIA'"...

SAMIA kaingiaje hapo?
 
Albadiri ni ushirikina na siyo kumlilia Mungu, albadiri haipo katika uislam ni shirki kama ushirikina mwingine na hairuhusiwi.
 
Mngekuwa wanaume si mngepiga mashuti ya mbali? Hakunaga longolongo hapo... Otherwise mmezoea kubebwa siku mkishushwa chini ndiyo kama mechi ya leo
 
Back
Top Bottom