Refa wa Coast vs Yanga afungiwa kwa kuishindwa kutafsiri sheria 17 za mpira wa miguu

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Emmanuel Mwandembwa amefungiwa miezi 6 baada ya kushindwa kumudu mchezo kati ya Yanga na Coast Union

Refa huyo alifanya matukio ya kutatanisha yakiashiria kuwa alipokea bakshish kutoka kwa WALOZI WA JANGWANI..

matukio hayo ni pamoja na kushindwa kutafsiri vema sheria 17 za soka kwa kumpa kadi nyekundu Khalid Aucho aliyempiga kiwiko mchezaji mwenzake na yeye akiona kwa macho yake mawili...

Lakini pia kumpa kadi ya njano mtu asyestahili kupewa kadi hiyo...

TFF imemfungia pia mchezaji Aucho kwa tukio hilo la hatari,

Utopolo kutwa mnashinda kulalamika hapa jukwaani kuwa TFF inawaonea wakati nyinyi ndio mnabebwa na hiyo TFF ,
Your browser is not able to display this video.
 

Kwani Aucho alipewa kadi nyekundu siku ile maana sijaelewa vizuri uandishi wako, au alishindwa kumpa kadi nyekundu Aucho? Hata hueleweki ulichoandika, labda soma tena ulichoandika.
 
Kwani Aucho alipewa kadi nyekundu siku ile maana sijaelewa vizuri uandishi wako, au alishindwa kumpa kadi nyekundu Aucho? Hata hueleweki ulichoandika, labda soma tena ulichoandika.
Mkiambiwa HAMNA AKILI mnalalamika,soma tena uelewe...nimeandika....REFA AMEADHIBIWA KWA KUSHINDWA KUMPA KADI NYEKUNDU KHARID AUCHO ...(yaani tukio lile ilitakiwa refa atoe kadi nyekundu ya moja kwa moja Aucho ili asiwepo mchezoni badala yake akampa kadi ya njano ili aendelee kuwepo kutimiza maagano na viongozi wa utopwax)
Umeelewa sasa?
 
Kwa kifup umechanganyikiwa
 
Kunywa maji mengi upunguze maumivu
 
Makolo bado mna kiwewe cha 5G. Kwani makosa aliyoyafanya yalikuwa kwa Yanga tu? Wewe vipi wewe? Anyways, 5 ni nyingi sana!
 
Ona ulivyo na akili matako! Kwani wametaja sababu ya kufungiwa ni hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…