Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Nimeisikia hii aina mpya ya matibabu, nasikia kwamba wanatibu kwa kugusa baadhi tu ya sehemu za mwili.
Naomba anayefahamu sehemu yoyote Dar ninayoweza kupata tiba hii anisaidie
Nimeisikia hii aina mpya ya matibabu, nasikia kwamba wanatibu kwa kugusa baadhi tu ya sehemu za mwili.
Naomba anayefahamu sehemu yoyote Dar ninayoweza kupata tiba hii anisaidie
Reflexology duuh tabu kuipata huku kwetu, huu utamaduni wa hawa ndugu zetu wa macho madogo. Ukijua wapi inapatika in TZ let me know