Refusha kibamia usihadhirike mjini

Refusha kibamia usihadhirike mjini

asanteelimu2016

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2016
Posts
235
Reaction score
127
Tatizo sugu na linalowaathiri wanaume wengi kwa sasa ni kukosa nguvu za kiume pamoja na kuwa na uume mdogo(kibamia) hivyo kushindwa kujiamini wakati wa tendo endapo tu watakuwa mechini na wanawake wanaohisi ni waropokaji.

Hivi unafahamu wanaume walio wengi round moja tu wanachoka hoi kama vile wamekombia mbio za marathoni? Unajua kuwa mauzo ya uume wa bandia na kujichua kwa wanaake ni tatizo linalozidi kuwa kwa kasi katika mahusiano mbali mbali ndani ya nyumba zetu?
Nisiwachoshe na hadithi hizi zinazozidi kuumiza nafsi za wavulana wenzangu

Suluhisho ni kuacha kutumia dawa zinazotangazwa ovyo mitaani na sasa uchukue ushauri wangu kama zoezi. Ukitaka kuongeza urefu wa inch ya uume wako cha kufanya ni kila unapoamka na kabla hujalala unapaka uume wako kilainishi ambacho kitasaidia katika tendo hili ninaloenda kukuelekeza. Ni vyema ukatumia mafuta na sio mate kama unataka kupiga punyeto.

Kisha mkono wa kushoto ubane katika ngozi inayounganisha korodani na kibamia chako na kisha mkono wa kulia kwa kuanzia chini ya shina la kibamia kwenda juu ya kichwa unakua unachua taratibu kwa muda kama wa dakika tano(hiki sio kitendo cha punyeto) utafanya hivyo kwa kusaidia kusisimua misuli na kuvuta kibamia chako kilichoanza kusinyaa kutokana kuathirika na punyeto.
 
Hapa labda kama unawashauri wale walioathirika na punyeto. Lakini naturally, ukubwa wa maumbo ya siri yanatofautiana na aliyeumba hivyo alikuwa ana maana yake.
Waswahili husema kila kubwa ina kubwa yake, na kila ndogo ina ndogo yake.
 
Na mtu akijua kukitumia kibamia chake vizur mbona hamn tatzo.Ukubwa wa pua si wingi wa kamac.Na wenye miguu ya watoto wachanga inamadhar yake.kulegez misur y uke, kusogeza kizaz mbele.FUPI TAMU NDEFU INAKERA
 
Hapa labda kama unawashauri wale walioathirika na punyeto. Lakini naturally, ukubwa wa maumbo ya siri yanatofautiana na aliyeumba hivyo alikuwa ana maana yake.
Waswahili husema kila kubwa ina kubwa yake, na kila ndogo ina ndogo yake.
Asante mkuu!
 
Hapa labda kama unawashauri wale walioathirika na punyeto. Lakini naturally, ukubwa wa maumbo ya siri yanatofautiana na aliyeumba hivyo alikuwa ana maana yake.
Waswahili husema kila kubwa ina kubwa yake, na kila ndogo ina ndogo yake.
Ndio lengo langu mkuu
 
kibamia si shida mbna me yngu saiz tu ctumii dawa na na uwezo wa kukaa kwanzia dk 45+ bila kufika mshindo ATARIDHIKA KWA LAZIMA
 
Back
Top Bottom