Kumbe warumi ni 'ke'Kuna watu wananijua humu, nawapa ruhusu wakupe habari zangu briefly ...
Halafu wengine binamu hatuishi kwa kuhongwa, Tatizo nyie watoto wa uswahilin Kuhongwa kwenu ndo fashion , Coz hamna elimu na kwenu mnanuka umaskini, so mkipata bahati ya kuhongwa kwenu ndo mkombozi wa maisha yenu
I’m not bragging , but I’m a living a life , your dream life , I’m sure hata wewe ungeyataman kuyaishi , in short, I have got money , plenty of it , I can take myself anywhere around the world without being sponsored au kutegesha mimba , upo nyonyo??
hahah hao wanaokujua humu utaruhusu wanitajie na jinsia yako halisi tafauti na hii unayoitangaza JF??Kuna watu wananijua humu, nawapa ruhusu wakupe habari zangu briefly ...
Halafu wengine binamu hatuishi kwa kuhongwa, Tatizo nyie watoto wa uswahilin Kuhongwa kwenu ndo fashion , Coz hamna elimu na kwenu mnanuka umaskini, so mkipata bahati ya kuhongwa kwenu ndo mkombozi wa maisha yenu
I’m not bragging , but I’m a living a life , your dream life , I’m sure hata wewe ungeyataman kuyaishi , in short, I have got money , plenty of it , I can take myself anywhere around the world without being sponsored au kutegesha mimba , upo nyonyo??
Wakati wanzie wakihongwa vinono
warumi yeye ghetto lake lina mafuriko limegeuzwa uvuvi wa kambale
Binamu wewe ni akili kubwa sana. Kila unachoandikaga hapa kina mafunzo makubwaNakupenda binamu wangu [emoji3590][emoji3590]
Pesa mzee!... mtoto mdogo born in 2000 anaolewa na kibabu Ned Nwoko - Wikipedia (59) kisa Naira! Ni kazuri kangetulia kangempata wa age yake; badala yake ni kimke sijui cha nne no cha sita cha huyo tycoon.
hahah aisee kumbe hadi waheshimiwa wanakula firigisi !I have slept with plenty of them , wengine ni waheshimiwa wako , go and dig for your own risk , nakupa assignment
Post zako na comment's zako huwa zinanisababisha nicheke sana hasa mtu anapoku- attack na wewe kumpa makavu hahahaaaaaaNot when warumi is Alive, abadani, I’m here to entertain you guys [emoji23][emoji23]
wenye pesa wametulia..wenye vilaki laki huko NMB ndio wanapayuka ovyo kama nyieI have never experienced life hardship in my life except changamoto nyingine tu za maisha , ila Mimi kusema Nina shida sana na pesa ? No , Niko na pesa zangu , I can take care of you and your family for the entire one fucking year , I’m that rich