Regina Daniels azawadiwa saa ya million 140 na mume wake....

Niko na pesa Ndio maana nashangaa hawa chawa kujidhalilisha kwa pesa ambazo they can make themselves kama wakiacha kutegemea uchi zao

Zari is being respected coz ako na pesa , ako na maisha yake, she cant cheapening herself kwa ajili ya njaa , nyie Makahaba wa bongo somen , hata hao madanga wa maana hawawez kuchukua wanawake ambao hawajielewi, Class attracts class , otherwise mtaishiwa kuchezewa wenzenu wanaolewa

Again just a reminder , I have got money ,! None of these cheap bitches can compete with me , not even in a dream , maskin mbwa nyie mxiiew , wapumbavu kabisa , wajinga wa mwisho , Kwan ni mimi nimewatuma mzaliwe na shida mbwa nyie
 
Kumbe warumi ni 'ke'
Kipindi chote mi nilikuwa ninajua ni Dume...dunia haiishi maajabu.
 
warumi kama warumi😍😍😍😍
Nakukubali sana wewe
 
hahah hao wanaokujua humu utaruhusu wanitajie na jinsia yako halisi tafauti na hii unayoitangaza JF??
 
Wakati wanzie wakihongwa vinono
warumi yeye ghetto lake lina mafuriko limegeuzwa uvuvi wa kambale

Huyo kahaba wenu ntamlipia flight aje huku Leipzig, akae hat mwez aone wanaume wenye pesa aache kushobokea utopolo huo, Tatizo wabongo hamsafiri mko na ulimbuken mno , sasa akija huku so atang’ang’ania wanaume kama wote na kutegesha mimba mji mzima

Nawaangaliaga tu mnavyochanganyikiwa na cheap fake life ya mastaa wa bongo , wabongo washamba sana , kama hamisa ndo mnamuona tajir mmerogwa vibaya mxieew
 
Milioni 140,hapo kwa IST za milioni 10 unapata IST 14,yaani ikidondoka tu chooni maana yake IST 14 zimekwenda na maji...
 
Not when warumi is Alive, abadani, I’m here to entertain you guys [emoji23][emoji23]
Post zako na comment's zako huwa zinanisababisha nicheke sana hasa mtu anapoku- attack na wewe kumpa makavu hahahaaaaaa

Kuna mafundisho ktk maelezo yako pia

Big up
 
wenye pesa wametulia..wenye vilaki laki huko NMB ndio wanapayuka ovyo kama nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…