Regina Daniels azawadiwa saa ya million 140 na mume wake....

Umeguswa tako umenuna.
Hayo ya Leipzig hakuna aliokuuliza wewe mama/baba.
Unataka hapa wote tukusapoti
Watu wa tandale bwana
Leipzig ya nyoko

C mimi nilikutuma uzaliwe maskin , blame your parents bitch [emoji16]
 
Raha ya warumi ukiji wa moto atakuzima
Ukija wa baridi utapenda atakavyokujibu kama sio yeye vile
Ngoja niendelee kusoma comment , naona humu ndani leo watu wamevurugwa

Naitwa warumi aka jeshi la mutu mumoja [emoji23], watakuja group zima nawatuliza na Expel dawa ya mbu[emoji23]
 
Chuchunge kanitoka eti nimetoa mimba 3[emoji15][emoji15]



Hamisa hanaga Bahati ya kuwa na boyfriend wake despite kako kazuri kwa sura, hicho ndo kinamtesa, she is trying so hard maskin , sasa bora angekua anajipendekeza kwa a right man na sio domo, mtu kila siku anamfanyia matukio ye yupo tu , shida mbaya
 
Huyu msichana haexperience shida yoyote kwakweli.
Kuna watu wamezaliwa na bahati zao kuwa wasipite misri na jangwani Yani Born to Win Born to shine
 
Huyu msichana haexperience shida yoyote kwakweli.
Kuna watu wamezaliwa na bahati zao kuwa wasipite misri na jangwani Yani Born to Win Born to shine

Yan acha tu halafu kamzalia mumewe kidume,Ana uhakika na maisha ya Canaan miaka mia, ila Siku hizi kameanza show off , Sijui nan kamfundisha alikuaga hana haya mambo

Naona Jana watu povu liliwatoka wanasema Ned anatumia pesa za serikali vibaya ,24 mil naira ni nyingi mno ingefaa kuwasaidia wana ijeria wasiojiweza
 
ukiwa na hela ulimbukeni unakuja tu automatically kila ukiangalia followers wako walivyo na hali ngumu unazidi kujiona special afu kabinti kaduchu duchu aah tumuache tu ale maisha anajiona kama kyler jenner wa Naija
kuna siku nilimuona kafikia hotel fulani Kati ya top 10 world expensive hotels [emoji114]wakati watu hata hyatt wanaona anasa
 

Ahaha binamu kumbe na wewe sio wa sport sport [emoji16]
 
C mimi nilikutuma uzaliwe maskin , blame your parents bitch [emoji16]
Kupata danga tajiri ni ndoto ya kila mwanamke maskini na mvivu..

Grow up..
I’m living your dream life bitch , relax your asssssss
Mabinti wa uswahilini ndoto zenu kupata madanga yenye pesa hats tukilaumu wazazi bado hawakukufundisha kudanga ama ni urithi?

So sorry ..kwa kweli kudanga ilikuwa dream imekuwa true sasa
 
Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
Utaolewa Tu, Safari Imeivaa
 
warumi punguza hasiraa aisee...!! unajua usipokuwa wewe kwenye hili jukwaa halinogi...
umenifanya mpaka Mimi chalii ya R chuga na fuatilia maudakua asiee [emoji23][emoji23]
 
Kama sex toy, halafu huyu ni gogo kitandani alishanisumbua sana usiku mmoja pale abuja
 
Kumbe warumi ni 'ke'
Kipindi chote mi nilikuwa ninajua ni Dume...dunia haiishi maajabu.
Hajawaji kuwa na jinsia huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…