Regina Mwalekwa na Asma Makao ndo tusemeje

Regina Mwalekwa na Asma Makao ndo tusemeje

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
768
kwa kweli sijaelewa kilichotokea maana kama ni likizo..likizo gani ndefu namna iyo alafu waliokamata usukani wawafunike hadi uwepo wenu usahaulike mapema hivyo....:A S 103:

inshort huwa nalazimika kusikiliza jahazi jioni mara nyingi (sababu nje ya uwezo wangu) ila tangu mmeaga kiaina ni muda sasa umepita no hear you au ndo janja ya Seba kuwatupia kapuni mkatafute habari nyuma ya pazia..teh teh Chezea Clouds wewe :msela:
 
kwa kweli sijaelewa kilichotokea maana kama ni likizo..likizo gani ndefu namna iyo alafu waliokamata usukani wawafunike hadi uwepo wenu usahaulike mapema hivyo....:A S 103:

inshort huwa nalazimika kusikiliza jahazi jioni mara nyingi (sababu nje ya uwezo wangu) ila tangu mmeaga kiaina ni muda sasa umepita no hear you au ndo janja ya Seba kuwatupia kapuni mkatafute habari nyuma ya pazia..teh teh Chezea Clouds wewe :msela:

Nahisi itakuwa wamewasepesha kimyakimya,ila me naona waliopo Wasiwasi,Anold,kibonde wana-fit zaid coz kile kipind kinahitaji mtu mfuatiliaji wa mambo mbalimbali na anayejua mambo mengi mfano; ilikuwa ikifika segment ya michezo wanakaa kimya anaongea kbonde pekeyake.Anold namjua ktambo ana upeo mkubwa,hata Wasiwasi naona yuko poa.
 
true kayanda ana upeo mkubwa sana huwa nauadimmire sana keep iit guy
 
dah hasara ilioje maana apo kurudi radio one ndo haiwezekani wanabaki na stress tu vichwani....ndo mkome clouds ni zaid ya kipaji cha utangazaji
 
Mmmmmhhhh!Kwani wameharibu ama ndiyo sifa za ajira hawana?!
 
Naona Seba atampangia Regina KIPINDI CHA MAMA NA MWANA jahazi si la stori za kitoto kitoto!
 
Nahisi itakuwa wamewasepesha kimyakimya,ila me naona waliopo Wasiwasi,Anold,kibonde wana-fit zaid coz kile kipind kinahitaji mtu mfuatiliaji wa mambo mbalimbali na anayejua mambo mengi mfano; ilikuwa ikifika segment ya michezo wanakaa kimya anaongea kbonde pekeyake.Anold namjua ktambo ana upeo mkubwa,hata Wasiwasi naona yuko poa.

Huyu anaebana puwa muda wote? huyu lazima anatafunwa na wanamume huyu i can bet on that.
 
Back
Top Bottom