mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
kwa kweli sijaelewa kilichotokea maana kama ni likizo..likizo gani ndefu namna iyo alafu waliokamata usukani wawafunike hadi uwepo wenu usahaulike mapema hivyo....:A S 103:
inshort huwa nalazimika kusikiliza jahazi jioni mara nyingi (sababu nje ya uwezo wangu) ila tangu mmeaga kiaina ni muda sasa umepita no hear you au ndo janja ya Seba kuwatupia kapuni mkatafute habari nyuma ya pazia..teh teh Chezea Clouds wewe :msela:
inshort huwa nalazimika kusikiliza jahazi jioni mara nyingi (sababu nje ya uwezo wangu) ila tangu mmeaga kiaina ni muda sasa umepita no hear you au ndo janja ya Seba kuwatupia kapuni mkatafute habari nyuma ya pazia..teh teh Chezea Clouds wewe :msela: