Tatizo langu mimi ni haya makanisa yanayoota kama uyoga, kama angekuwa ameamua kwenda RC , Pentecoste, Moroviani, Anglikana ama hata assembless ingekuwa poa lakini haya ya shika neno tenda neno hamna kitu tena akiangalia ndiyo atazama zaidi kwa taarifa yako
Pentecoste + assembless + shika neno tenda neno = 1
Tofauti sana maana hao akina Mzee wa Misukule, Mito ya Baraka, Mzee wa Upako na akina Mwingira zile ni ministry ndiyo hazina misingi ya makanisa ni vikundi vya wajanjawajanja.Kwa hiyo ameenda kuokokea kwenye vikundi vya wajanja wajanja na kuenda amepigwa 10% kwa ajili ya kutangaza jina la kanisa hilo
Yesu anabatiza kila kukicha, kweli dini ya Allah inapuputika kila sekunde.
we are in democratic republic the constitution allows say whatever but break nor the law.
so i can argue not its your right constitution defends you.
but remember the same defends you is appropriate defends them to do what they are doing
so you have to respect them.
Yesu anabatiza kila kukicha, kweli dini ya Allah inapuputika kila sekunde.
I am with Niwemugizi for sure, Rehema Chalamila aka Ray C if she would have been serious that she want to be a truely born again christian she should have opted Assembles of God or Pentecostal Churches. For her to go to the ministry and announce to the whole world that she is a truly born again is day light layer because through ministry there is no seriousness as it is just a gang of people who are there just to satisfy their needs using the world of God to rob people especially those people with problems