Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 44
Nathibitisha kuwa NI KWELI, Rehema amefariki saa 10 alfajiri ya kuamkia leo.
Alikuwa anasumbuliwa na Pumu.
Alikuwa Mtangazaji wa ITV.
ITV Presenters Profiles
RIP Rehema.
'Wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana'
RIP Rehema Mwakangale