Rejesha Nyota yako Kimapenzi

Tatizo lako wewe unawaza mambo ya unajimu sana. Ukisikia mtu kasema "yule ni nyota wa filamu" we utawaza unajimu?
Hiyo inaelewa kwasababu inajieleza tofauti. Kama unajimu sicho ulichomaanisha hayo mambo ya nyota sijui za mapenzi ungeyaweka kando.
 
Watu wasio na hoja utawajua tu.Siku zote wanakimbilia kua offensive!Bahati nzuri vitu kama hivi sitilii maanani.
Unaumwa wewe, safisha nyota yako. Hahahahahahaaaaaa!
 
sheikh yahya mkareee, kaacha vilembwe aisee
 
Haya ni mambo ya Akina Maalim ABALHASAN wA GAZETI LA mWANANCHI. Hujawasidia ila umewapa tahadhari. Je utatuzi ni upi kwa hizo nyota ? Na mtu atajuaje? Maana hujaweka kanuni ya kufuatwa!
 
Embu nikome.Umeambiwa nabite hovyo?!


Jamani, dada mkali weye! Angalia, wakware wa JF wakijua wewe i mkali kiasi hicho, wanakusumbua, utajikuta kila wakati unatumia lugha za ukali.... saa nyingine wapotezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…