sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hongereni majirani, kwa sasa nyie ndio mnaoongozea kwa cheapest internet in East Africa.
Well, kwa huku kwetu TZ gharama zimepanda sana, kwa sasa GB 1 ni 1,861 sawa na shilingi yenu ya kenya 94.
Youtube views za miziki yetu zilivyo drop ni kithibitisho tosha,
Well, kwa huku kwetu TZ gharama zimepanda sana, kwa sasa GB 1 ni 1,861 sawa na shilingi yenu ya kenya 94.
Youtube views za miziki yetu zilivyo drop ni kithibitisho tosha,