Rekodi ya simba kwenye michuano ya kimataifa ya CAF

Rekodi ya simba kwenye michuano ya kimataifa ya CAF

Dasizo

Senior Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
173
Reaction score
413
Katika kipindi cha miaka 5 Simba ndio klabu bora Afrika Mashariki kwa hatua walizopiga michuano ya Kimataifa ya CAF.

Hatua ya makundi na Robo Fainali mara 4. Yanga itawachukua miaka 4 hadi 5 kuifikia hatua hii ya Simba.

1680465634374.jpeg
 
Mimi ni Simba Lakini Mafanikio ya Simba Ni ya Simba.

Sio kipimo kwa Timu yoyote.
Mafanikio yako Dasino ni kwa faida yako sio kukomoa wengine, au Kujitapa.
HUU NI USHAMBA

Simba Ina changamoto kibao.
Unaweza ukazitaja zikawa Chanzo Cha kufanikiwa zaidi.
 
Back
Top Bottom