Dasizo Senior Member Joined Nov 10, 2022 Posts 173 Reaction score 413 Apr 2, 2023 #1 Katika kipindi cha miaka 5 Simba ndio klabu bora Afrika Mashariki kwa hatua walizopiga michuano ya Kimataifa ya CAF. Hatua ya makundi na Robo Fainali mara 4. Yanga itawachukua miaka 4 hadi 5 kuifikia hatua hii ya Simba.
Katika kipindi cha miaka 5 Simba ndio klabu bora Afrika Mashariki kwa hatua walizopiga michuano ya Kimataifa ya CAF. Hatua ya makundi na Robo Fainali mara 4. Yanga itawachukua miaka 4 hadi 5 kuifikia hatua hii ya Simba.
Song of Solomon JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 2,752 Reaction score 5,609 Apr 2, 2023 #2 Uzi tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 8,542 Reaction score 18,340 Apr 2, 2023 #3 Mimi ni Simba Lakini Mafanikio ya Simba Ni ya Simba. Sio kipimo kwa Timu yoyote. Mafanikio yako Dasino ni kwa faida yako sio kukomoa wengine, au Kujitapa. HUU NI USHAMBA Simba Ina changamoto kibao. Unaweza ukazitaja zikawa Chanzo Cha kufanikiwa zaidi.
Mimi ni Simba Lakini Mafanikio ya Simba Ni ya Simba. Sio kipimo kwa Timu yoyote. Mafanikio yako Dasino ni kwa faida yako sio kukomoa wengine, au Kujitapa. HUU NI USHAMBA Simba Ina changamoto kibao. Unaweza ukazitaja zikawa Chanzo Cha kufanikiwa zaidi.