Hahahaha unajua ile mechi ilikua ni siri yetu nyinyi yanga sijui mlipataje taarifa
Ongezea na ile timu iliyopigwa bao 7 kule south africa kwenye mmtanange wa kirafiki.
Mpaka leo mmeshindwa hata kuleta clip wala picha za mechi ikichezwa,mlikula 5 mpka mtani jembe ikafa kisa 57UP umenikumbusha bondeni....!
Kutwaa ubingwa ni timu nyingi tu bado, ila kula mkono bila ni timu chache sana na ndio maana inaleta attention kidogo.pia mwaka 2012 ni record ya Mikia fc kutwaa kombe la ligi kuu hadi leo hii wanaishia kulisikia tu masikioni
Simba kwa kumbukumbu....nani kafungwa mechi nyingi