Relationship is a team work, wanawake msiyachukulie mahusiano kama sehemu ya kutatua matatizo yenu ya kiuchumi

ukweli mtupu Ila dini ziangalie namna yakufuta maandishi yao kwenye biblia

Mfano atazaa kwauchungu
Uislam nawao wanayao
 
Mimi nafikiri usinge base zaidi Kwa Wana ndoa maana umeruhusu hoja yako kuwa dhaifu inshu si kwenye ndoa maana si Tu vitabu vya dini hata kene Mila zetu ni wajibu wa mwanaume kuhudumia na ndosehemu anapopatia heshima yake km mume sema kuna hawa wanawake wanje hawa ndoshida yaani utajuta hawa ndio uwasemehe kuwa km ni mahusiano bhasi ni wajibu wa wote kuwajibika.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Mada sjaelewa kabisa alielewa naomba anisaidie
 
Kamke kangu Bana!! ni mimi nafanya kila kitu!! kenyewe kame kaa tu!! kakinikalia vibaya hata nakaogesha kwanza ni kadogo kwangu kiumri! km saba hivi huyu si mdogo wangu kabisa!?

sina sababu ya kulia lia!!...pili tangu nimpate huyu mwanamke sijawahi kulia njaa tena!! ....zaidi napanda na kupanda skuwahi kufikiri naweza pata ghorofa!! .....haya niliyaona kwa wahindi tu! lkn wkt naka tongoza tu mambo yangu hayoooo!

Bibi nyachiro kaniuma sikio fast mjukuu wangu kamatia hapo hapo!!! ukiacha utajiju...si ikawa kweli mpaka leo! bana weee huyu ni huyu tu!1 niligundua kitu kimoja nikichepuka tu hela zinapoteaaaaa!
 
kukununulia soda ya 500 atakulipisha eti bby nakukopesha😂
Daaa! ananikopesha ? kabisaaa!!,....huyo mbona Mkuu bonge la fursa mtumie barabara!! dawa yake mkope ununue Gari la mchanga! usikope vitu vidogo vidogo! ...mtegee akope mapesa mengi Bank! then mshawishi akukopeshe weye!

Anza harakati!!! tena huyo ndo mzuri!! siku ukiwa huna na wewe mkope tena! yaani iwe nyumba ya kukopeshana tyuuu!! hkn sijui eti baba atoe karo peke yake no! mnagawana watoto kuwasomesha!
 

Pinned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…