Relationship sttus : Its complicated

jino kwa jino

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
794
Reaction score
191
WanaJF naomba kujua wanaoandika status zao hasa knye Fecebook it's complicated ni kwamba wamechakachuliwa sana au wanamanisha nini, ???
 
Uhusiano upo ila kama haupo!Wanakua hawana uhakika kama bado wako kwenye uhusiano au la(mfano mmoja kaharibu ila hawajafikia kuambiana sikutaki tena)...kama wanao uhusiano au hawana (wameongea ila hawajatamkiana/kubaliana rasmi kua pamoja).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…