Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

MCHUNGWAJI! Now days people do the search and when they find out that you lied, they don't even bother reading your thread! I suggest IF you want to lie, try something closer to the truth!!

!
Hamas Wants Your Money! [TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 33%"]
[/TD]
[TD="width: 36%"]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This is Ismail Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, which the Palestinians have chosen to run their government. He wants your money... unconditionally.[/TD]
[TD]
These are his people, the Hamas terrorists who have slaughtered hundreds of innocent people in shopping malls, cafes and even on buses. (They're holding Qurans).
[/TD]
[TD]This is an example of who they murder: Mazal Marciano a talented and devoted mother of two small children. She made easy pickings for Haniyeh and his henchmen.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Okay............
Kunijaribu nikimaanisha anajua naweza nikafanya the wrong choice, naye ameweka mazingira ya mimi kufanya the wrong choice, naye ataniumiza nikifanya the wrong choice!!!!! What DA heck!!!
Haya maneno japokuwa yana ukweli Mwingi lakini hayaondoi uwepo wa Mungu. Tunarudi pale pale wewe si umejikuta umezaliwa tu hapa duniani?!! Sasa kama umejikuta umezaliwa ni kitu gani cha Ajabu sana kwa Mungu kutaka anavyovitaka. May be it doesn't make sense but hey If that's what God wants, deciding to ignore his existence does NOT get you off the hook!!! Hivi with all the intelligence gone into the amazing creation, do you really think you stand any chance against The Creator.

Kwa upande mwingine wewe na akili zako zote huwezi kuelewa all the complexities in all the creation surrounding you. Na hakuna mtu ambaye atakuja ku-master all the fields of life kwa ukamilifu wake na kuwa na maarifa yote yaliyopo duniani ijapokuwa nayo pia hayajakamilika. Huu ndio ukweli. Sasa jiulize hivi, Ikiwa ku-comprehend creation tu ni tatizo hivi kweli utaweza ku-comprehend the Creator??!!!

Think!!


Okay kabla sijaingia ndani zaidi ngoja nikuulize swali hapa kuhusu hii "ambaye hana uchu wa kuabudiwa". Kwa nini unafikiri Mungu huyu wa Biblia ana uchu wa kuabudiwa? na hata kama anao, ni kwa nini unadhani kwamba hapaswi kuwa nao, ni kitu gani kinapungua katika uungu iwapo Mungu ana uchu wa kuabudiwa??!!

Na je kinachokukwaza katika kumkubali Mungu ni kule kuhitajika kumuabudu tu au kuna kingine??

Japokuwa umesema wewe ni agnostic lakini (Utanisahihisha kama nakosea) unaonesha kuwa unakubali uwepo wa Muumba ila unaamini au ungependa Muumba huyu awe wa namna fulani inayokupendeza na kukufurahisha wewe. Kwa maneno mengine ungependa kujiumbia Muumba wako mwenyewe (How ...?)
 

It does not matter how many documentaries have you followed, nether how many paper or books you read, what matters is the truth of the phenomenon, Macro evolution haingii akilini mwa mtu anaye fikiri, evolution at micro level inaelezeka na inaleta maana, hayo amafuvu hayana la maana za ya kujipa moyo na elimu tuliyoitunga wenyewe, kuna binadam wa sasa wanaonekana na mafuvu tofauti na wengine, mtu akija kuchimba baada ya mamillioni ya miaka atasema amegundua evolution ya aina ya binadam.
|Evolution haingekuwa INAHITAJI NGUVU SANA KUIJUA KWA KUCHIMBUA KAMA INGEKUWA KWELI, ingekuwa rahisi sana kugundua mifupa na mafuvu ya idadi ya kutosha ya viumbe, huwezi ukafukua fuvu la nyani la miaka millioni 4 ambalo limebahatika kuwepo ukasema hili ni la binadam wa kabla ya huyui wa kileo. Batch of shits
 

Acha kujidanganya wewe Mungu wa Biblia sio mungu wa Quran, Mungu wa Biblia ni muweza wa Yote, mungu wa Quran si muweza wa Yote, mfano hawezi kuwa na mwana wakati hana mke,anahitaji mke ili awe na mwana...
 
Surat al baqarah
2:191 And kill them wherever
you overtake them and
expel them from wherever
they have expelled you,
and fitnah is worse than
killing. And do not fight them at al-Masjid al- Haram
until they fight you there.
But if they fight you, then
kill them. Such is the
recompense of the
disbelievers.

Unaposema hujawa commanded kuua wakati quran imekucomand unakosea.
 
How about this one!! Try to give it a tittle.

Psalms 137:9-
How blessed will be the one who grabs your babies and smashes them on a rock!

Inahitajika akili ya hali ya juu kuielewa hii chapter:


By the Rivers of Babylon ( with lyrics) - YouTube
 
NIMEELEWA TATIZO LAKO KIASI..,TAFAKARI MASWALI HAYA KWANZA. je kama yesu kristo aliye na mamlaka duniani na mbinguni. yeye atakuwa nani?je anayekuja kuhukumu ulimwengu kwanini aje yeye mwanadamu kwani mungu anafanya nini?je binadamu gani aliyeishi ulimwenguni akawa hakuwa na dhambi na akaitwa masihi? je masihi huyu ni nani?je nabii/rabi/ kuhani gani aliyewahi kuthubutu kutamka kuwa yeye na baba ni kitu kimoja kama sio Yesu pekee?huyu atakuwa nani anayejilinganisha na mungu?Je Nabii gani/mchungaji aliyewahi kusema alikuwako kabla ulimwengu haujaumbwa kama sio yesu pekee yake? Je atakuwa nani?je baba yake yesu atakuwa nani hapa duniani kama na yeye alikuwa mwanadamu kama sisi? ambapo biblia imemwita emmanuel=''mungu pamoja nasi''. kama yesu sio mungu atakuwa nani? mathayo 1:22-23je binadamu gani mwenye uwezo wa kuponya na kufufua wafu aliyewahi kuwepo kama yesu?kwanini mitume/manabii/makuhani/rabi/mchungaji wote yeye ana-previledge gani inayomfanya awe na uwezo wa kuhukumu ulimwengu kitu ambacho manabii wengine hawakupewa hata musa wa torati hawezi pia?. unahitaji upekuwe kidogo kuelewa nini maana ya utatu mtakatifu, yaani baba, mwana na roho mtakatifu. ndipo utaelewa hata kwanini ubatizo unatakiwa uwe wa utatu huo. pia niliposema yesu ndiye mungu hapa nilikuwa namaanisha hatukupewa jina lingine lipaswalo kuokolewa wanadamu ila ni jina la yesu kristo(atakayekuja kuhukumu ulimwengu)(Maoni: Tatizo ninaloliona kuna hali ya kupenda kuwashindanisha ili kujua nani Zaidi kati ya yesu na mungu wakati yesu ameshasema na kusisitiza wao ni wamoja.na kama ni hivyo ni ngumu kuwatenganisha kwa hoja zetu, kwani yeye yu ndani ya baba na baba yu ndani yake. Hata alipoagiza wanafunzi wake alisema wawabatize kwa utatu mtakatifu yaani baba, mwana na roho mtakatifu. Hapa unahitaji umjue huyo baba ni nani, mwana ni nani na kwanini ubatizo uwashirikishe wote wakati mungu ndiye mkubwa na kiongozi.)Yohana Mtakatifu 16:23-24: kumwomba baba katika jina lake inamaanisha ikiwa unamwamini mungu basi yakupasa umwamini na yeye pia(like =nakuomba mungu katika jina la yesu.,,). Ndio maana akasisitiza na kusema (Yohana Mtakatifu 16:26,) “Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu; . Yohana 14: 1 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.2 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.3 Nami niendako mwaijua njia.4 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?5 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.9 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.10 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.1 Yuda (siye Iskariote), akamwambia, Bwana, imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwa ulimwengu?22 Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.5 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
 



do not underestimate the power of science mate. Species zinazopatikana zinakua na intermediate and similar features kati yetu na Apes, and the DNA sampling plus fossil dating both suggests that at some point we had a common ancestor. You see, its just a theory bado hamna proof (until the day we find the first descendant, Adam perhaps), so for now you either accept it or you don't. I kinda do believe for a long enough time species can evolve to better cope with the surrounding environment, if you do not accept that well its understandable.
 

Nimekuuliza swali rahisi sana! Lakini unazunguka palepale!
Badala ya kunipa jibu! Wewe unaniuliza tena mimi maswali! Yaani wewe na huyu mkiristo mwingine Eiyer japokuwa nyie sio ndugu lkn tabia zenu zinafanana kabisa!

Narudia swali,

JE! KAMA YESU NI MUNGU!

NI NANI YESU ANAMUITA BABA KILA MARA??

Mbona hili swali ni fupi tu? Au kiswahili kinakusumbua??
 
Last edited by a moderator:

Your list is looooooooong but not a train!
Teh teh teh teh!

MY LIST OF KILLING WAS EVIDENCE AND DOCUMENTED IN THE BIBLE!
AND THE ONE WHO KILLED IS THE SAME ONE YOU WORSHIP! !

YOURS IS FROM INTERNET! !

Mhhhh! I just wonder who is trying to pull the fast one!!

Teh teh teh teh teh!

And if you believe that Jesus was god!
Then he started killing even before he was born!!

Teh teh teh teh!!


HALELUYAH MAX!! THE WEAKEST LINK!

I GOT THE GOOD WEB NAME FOR YOU!!

Bible confused @ MaxShimba. Com!!
 
Last edited by a moderator:
Inahitajika akili ya hali ya juu kuielewa hii chapter:


By the Rivers of Babylon ( with lyrics) - YouTube
andate !

kwa kauli yako hapo juu!
UNA MAANA BIBLIA IMELETWA KWA WATU WENYE AKILI ZA HALI YA JUU SANA??
WASIKUWA NA AKILI HIZO NI WATU WA MOTONI!!??

The bottom line here is the people who committed those UNBELIEVABLE act of smashing young children's heads against the rocks ARE THE SAME PEOPLE WHO FOLLOW THE BIBLE!

And NO ONE CAN TRY TO JUSTIFY THAT!

And the other thing you need to ask yourself is! IF EVERYTHING WRITEN IN THE BIBLE IS FROM GOD! THEN WHY SOO MANY OF THE LINES IN THE BIBLE IS ALMOST IMPOSSIBLE TO UNDERSTAND?? OR THEY DONT MAKE ANY SENSES! ?

DID GOD DECIDED TO MAKE IT COMPLICATED ON PURPOSE! !??

IF THATS SO! WHY?? IS IT A COMMON SENSE THAT THE WORD OF GOD SHOULD BE EASY TO UNDERSTAND??
 
Last edited by a moderator:

Nimeipenda hii!!!!!!
 
Acha kujidanganya wewe Mungu wa Biblia sio mungu wa Quran, Mungu wa Biblia ni muweza wa Yote, mungu wa Quran si muweza wa Yote, mfano hawezi kuwa na mwana wakati hana mke,anahitaji mke ili awe na mwana...

Mkuu Mungu AKUBARIKI Sanaaa tena na sanaaaa.
 


Yesu si Mwana wa Mungu kulingana na ubaba wa kawaida wa binadamu. Mungu hakuoa na kupata mwana wa kiume. Mungu hakufanya tendo la ndoa na Mariamu, na pamoja naye kuzaa mtoto wa kiume. Yesu ni Mungu katika hali kwamba ni Mungu anajithirihisha kama mwili. (Yohana 1:1, 14) Yesu ni mwana wa Mungu kwa dhana kwamba Mariamu alipata mimba kupitia Roho Mtakatifu. Luka 1:35 yasema, "Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu."

http://maxshimba.blogspot.com/2013/04...

Max Shimba: Ina Maana Gani Yesu kuwa Mwana wa Mungu? - YouTube
 

Do you need some more muhammadic evidence

Previous Years:
 
Acha kujidanganya wewe Mungu wa Biblia sio mungu wa Quran, Mungu wa Biblia ni muweza wa Yote, mungu wa Quran si muweza wa Yote, mfano hawezi kuwa na mwana wakati hana mke,anahitaji mke ili awe na mwana...

Una maana mungu wa biblia ana mke??
 

We MaxShimba acha kudanganya watu ili ulipwe!!
Huna haya kutoa misamiati halafu kutoa conclusions kuwa yesu ni mwana wa mungu??
Mbona ADAM hana baba wala mama usimuite mwana wa mungu??
Nyie mtaingia moto wa jahannamu kama rocket!
Halafu aitoshi kusema kuwa yesu ni mwana wa mungu!
Mnaongezea na kusema kuwa huyo mwana alijizaa mwenyewe kwa kuwa yeye ni mungu! Na akaamua kujiua ili mtu kama wewe upone!!?!?!

Yaani nyie watu sijui tuwaweke ktk category gani!! Manake hata wale waliokuwa na imani za vita vya majimaji kuwa ukisema "maji" risasi inageuka maji basi wale wana afadhali!!

Huu mstari nadhani utakufanya ujicheki kwanza! Uko sawasawa!?

. Deuteronomy 23:1 ESV

No one whose testicles are crushed or whose male organ is cut off shall enter the assembly of the Lord.
 
Last edited by a moderator:

LOOK WHAT THE god OF BIBLE ALLOWS TO HAPPEN!!

10. 2 Kings 2:23-24NKJV

Then he went up from there to Bethel; and as he was going up the road, some youths came from the city and mocked him, and said to him, “Go up, you baldhead! Go up, you baldhead!” So he turned around and looked at them, and pronounced a curse on them in the name of the LORD.
And two female bears came out of the woods and mauled forty-two of the youths.

HOW SAD! mhhh! Just a joke! And 42 young man are dead??

Also the same Lord of bible allows the following! ;-

Genesis 38:8-10NASB

Then Judah said to Onan, “Go in to your brother’s wife, and perform your duty as a brother-in-law to her, and raise up offspring for your brother.” Onan knew that the offspring would not be his; so when he went in to his brother’s wife, he wasted his seed on the ground in order not to give offspring to his brother. But what he did was displeasing in the sight of the LORD; so He took his life also.

The man was just wa..ing himself! And did not want to have kids with his sister in law!!
he died because of that!! I mean! Is perfoming of puchu is publishable by death??

Who is safe now?? Is it you MaxShimba or Eiyer ! Or may be 2013
 
Last edited by a moderator:

Ukitoa mstari 1 ktkt ya stori kamili unajaribu kudanganya umma!

Hii ni command wakati wa vita! Wakati ambao waislamu walikuwa wanauwa na makafiri!
Na wao hawakuwa ni wenye kurudisha mashambulizi! Ndio ikateremka aya ya kuwaruhusu na wao kupigana na kuua kama wanavyo uwawa wao!!
 
Acha kujidanganya wewe Mungu wa Biblia sio mungu wa Quran, Mungu wa Biblia ni muweza wa Yote, mungu wa Quran si muweza wa Yote, mfano hawezi kuwa na mwana wakati hana mke,anahitaji mke ili awe na mwana...

Na huyo mungu wa biblia unaesema ANA UWEZO WOTE!
KWANINI ASIWASAMEHE NYIE DHAMBI BILA KUMUUA MTOTO WAKE PEKEE AMPENDAE??
YEYE KAMA ANA UWEZO WOTE KWANINI ASISEME TU! ahh nimekusameheni nyie wagalatia wooote! Mpaka wale waliberali kwenye maparokia! Woote!

Yaani mpaka mwanae AFE MSALABANI NDI9 NYIE MFURAHI!
HUYO mungu au MLEVI??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…