fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Habari wakuu
Kama heading yangu inavosomeka hapo juu huyu kijana kutoka marvins ya mkongwe don jazzy amekua akijitahidi kutoa nyimbo kali kama dumebi, why, iron man, corny kwa wafuatiliaji wa mziki wa africa watkua wamenielewa sana na ngoma zake zmekua hit african naona atakuja kuwa msanii mkali sana baada ya miaka miwili mitatu
Kama heading yangu inavosomeka hapo juu huyu kijana kutoka marvins ya mkongwe don jazzy amekua akijitahidi kutoa nyimbo kali kama dumebi, why, iron man, corny kwa wafuatiliaji wa mziki wa africa watkua wamenielewa sana na ngoma zake zmekua hit african naona atakuja kuwa msanii mkali sana baada ya miaka miwili mitatu