Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
Yaani hicho tu ,ndo unamchukia?
Mkwanka nao unamruhusu kufanya anachotaka,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkwanka nao unamruhusu kufanya anachotaka,
Acha uongo wako kijana tiketi ya bei ndo $3000 - 7500 huko VIPHe hd he. Ticket $150,000. Halafu zinagombaniwa balaa.
OkMay hajawahi kuwa boxer bora kwangu....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wenzetu wanawaza starehe sisi tunamuwaza Msukuma maana hatujui kesho ataamka vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
conor huyuhuyu wa MMA afie uwanjani?.kupigwa labda lakini sio kufia uanjani,yeye mwenyewe anacheza michezo ya hatariHaka kajamaa ka Conor katafia uwanjani kasipokuwa makini.
MMA ni hatari kuliko Boxingconor huyuhuyu wa MMA afie uwanjani?.kupigwa labda lakini sio kufia uanjani,yeye mwenyewe anacheza michezo ya hatari