Rematch Floyd Mayweather Vs Canelo Alvarez.

May hajawahi kuwa boxer bora kwangu....
 
Maboksa wengi waoga kwenda MMA, najua May atampiga Mac kwavile yuko uwanja wa nyumbani, ila angejaribu kumfata kule MMA May angekata roho ulingoni, kajamaa kako fit sana kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachokisema Many Paciao ni sahihi kabisa, MacGregory sio professional wa boxing anawezaje kuja kupigana na mtu kama Maywether?
Hapa dogo anatafuta mkwanja tu basi lakini sio ushindani fair

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Myawether aspokua makini akaacha huu upuuzi wa kua mshamba wa pesa atafiliska soon...awaige kina Bill Gate na kina Jayz aache Utoto wa kupga pcha pesa na kutembea na pesa kwenye ndege ...nmeamin mtu mshamba ata apate nini hawez kuacha asili hawa ndio wanafanya waafrca waoneakane ni wapuuz Kina Messi na kina Ronaldo hawawez kufanya upuuzi huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…