Removing of uterus

Removing of uterus

unknown1234

New Member
Joined
Jul 12, 2024
Posts
1
Reaction score
4
Habari ndugi zangu
Naomba nijue kuhusu kutolewa kwa kizazi kwa ambao washapitia changamoto hiyo
Je unakuwa na tofauti gani katika kufanya tendo la ndoa na mume
Je Kuna changamoto zingine unazipata au madhara yoyote
Wanawake wengine wanasema kama mwanamke anakuwa hafai tena unanenepa unakuwa na tumbo.kubwa na pia mume ndo basi tena anakukimbia
Naomba nijue ukweli

Mie Nina matatizo kwenye kizazi nataka nikafanyiwe upasuaji na kutolewa

Naomba kujua
Asanteni
 
Habari ndugi zangu
Naomba nijue kuhusu kutolewa kwa kizazi kwa ambao washapitia changamoto hiyo
Je unakuwa na tofauti gani katika kufanya tendo la ndoa na mume
Je Kuna changamoto zingine unazipata au madhara yoyote
Wanawake wengine wanasema kama mwanamke anakuwa hafai tena unanenepa unakuwa na tumbo.kubwa na pia mume ndo basi tena anakukimbia
Naomba nijue ukweli

Mie Nina matatizo kwenye kizazi nataka nikafanyiwe upasuaji na kutolewa

Naomba kujua
Asanteni
Wanawake walofanyiwa TAH, na wale walofanyiwa TAH with Bilateral Salpingo-Oopharectomy , baadhi Yao hukumbwa na kadhia kama vile ..

Kupungua au kukoswa kabisa hamu ya tendo la Ndoa ( Kwa sababu Ovaries zake hazizalishi Homoni ya Estrojeni ambayo ndio homoni ya mapenzi Kwa Wanawake ).


Pia wanakumbwa na Dalili za Ukomo wa hedhi wa mapema kama vile Uke kua mkavu , sauti kua nzito .

Kukosekana Kwa Estrojeni kunafanya mwanamke anakua Mnene ,Mkali, Kwa sababu Homoni hii kazi yake pia ni ku regulate Uzito Kwa mwanamke.



Je una tatizo gan Hilo ?. Waweza shea nami Inbobo Kwa ushauri zaidi.
 
Habari ndugi zangu
Naomba nijue kuhusu kutolewa kwa kizazi kwa ambao washapitia changamoto hiyo
Je unakuwa na tofauti gani katika kufanya tendo la ndoa na mume
Je Kuna changamoto zingine unazipata au madhara yoyote
Wanawake wengine wanasema kama mwanamke anakuwa hafai tena unanenepa unakuwa na tumbo.kubwa na pia mume ndo basi tena anakukimbia
Naomba nijue ukweli

Mie Nina matatizo kwenye kizazi nataka nikafanyiwe upasuaji na kutolewa

Naomba kujua
Asanteni
Kuna aina mbili za kuondoa kizazi.
1. Total hysterectomy, hii inahusisha kuondoa uterus, cervix lakini pia ovaries and fallopian tubes zinaweza kuondolewa.
2. Subtotal hysterectomy, hii inahusisha kuondoa uterus na cervix tu.
Mara nyingi sana ovaries huwa haziondolewi ili kuendeleza madadiliko ya maumbile ya kike.

Madhara makubwa ya kuondolewa kwa uterus tu ni kutokuzaa, hakuna madhara mengine. Hakuna mabadiliko ya kimwili maana mfumo wa hormone unakuwa bado upo pale pale kama ovaries hazikuondolewa.

Kama uterus ,ovaries na fallopian tu zikiondolewa . Mwanamke hupata madhara yafuatayo.
1. upotevu wa nywele.
2.Uke kuwa mkavu.
3.Kuongezeka uzito.
4.Kupungua kwa hisia za tendo la ndoa.
5.Ngozi kuwa kavu nk...

Asante.
 
Back
Top Bottom