Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 364
- 468
Aliyekuwa Katibu wa BAVICHA mkoa wa Dar es salaam, Renatus Mulashani, ametangaza nia ya kugombea jimbo la Muleba kaskazini lupitia CHADEMA. Mbunge anayemaliza muda wake ni Charles Mwijage (CCM) aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara.
Kama Mwijage atapitishwa na CCM basi ni wazi jimbo hilo litachukuliwa na CHADEMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mwijage atapitishwa na CCM basi ni wazi jimbo hilo litachukuliwa na CHADEMA
Sent using Jamii Forums mobile app