Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wewe unamtetea huyu mtu anataka Tanzania ifuate mob justice badala ya rule of law?
By the way anavaa suti bado?
Hayo majina nimeyaweka maksudi wanaomuelewa GT wamenielewa maana yangu na yeye anafahamu kwanini nimemuingiza Ramadhani Dau katika kundi hilo!!
GT,
..mambo ya Pinda ni Kilimo Kwanza.
..halafu mbona mimi naona kama afadhali ya Pinda kuliko JK?
Huko nyuma nilisema kuwa huyu jamaa kapitwa na wakati...to me ni wazi kuwa bado yuko stuck kwenye enzi za politics of envy. Maana tangu ameingia hivi keshafanya lipi kubwa la kusema kuwa ahh hayo mambo ya Pinda hayo! and please dont get me started na hiyo kilimo kwanza
Huyu bwana hafany press conference, website ya ofisi yake HOVYO HOVYO tuu haina anything kuhusu policy za serikali anayoiendesha, if anything watendaji wengine serikalini wanamdharau tuu na last but not least naona atakumbukwa kama Waziri mkuu ambaye alitaka kupiga marufuku mawaziri kuvaa suti NA alitaka watembelee BAJAJI!
Narudia tena this is the most useless Prime Minister ever to breath in Tanzania if anything kwa kutaka kuleta politics of envy ni Stalinist in outlook, totalitarian by instinct, reactionary by nature, arrogant in character na mbaya zaidi naona kapewa cheo kikubwa kuliko uwezo wake
Hivi kila kitu mpaka akiingilie JK ndio kinafanyika?
Kutuambia eti hajui kwa nini Malaysia wameendelea wakati tulikuwa sawa nao kimaendeleo inabidi huyu Pinda arudi darasani asome au nashauri wapambe wake wamnunulie hivi vitabu
halafu aachane na kusoma udaku
si vibaya akawa anasoma gazeti la ECONOMIST kila wiki
Haswa! na it takes guts to take on Kingunge."weuwe chile chituo cha ubungo kama asingekuwa yeye kingetoka mikononi mwa chingunge?"
GT sawa kama Pinda hafai unampendekeza nani achukue nafasi yake kati ya hawa:- Juma Kapuya, Adam Malima au hata Ramadhani Dau!!!
Yuko busy kujiandaa kuwa Rais ...lol mimi nilifikiri anatakiwa kutekeleza shughuli za serikali kwa sasa kuliko kuogopa kufanay chochote ili usiwe na upande ..aibu kubwa..what a shame?Nakubaliana nawe Pasco juu ya Pinda,
It is only those weak in forecasting wasioona potential ya Pinda.
Jamaa anacheza karata zake barabara.Background yake inampa uelewa huo.
Mpaka sasa hajaingizwa kwenye kundi lolote ndani ya CCM, hiyo ni karata dume.
Naweza kuwaita wale walio na udhaifu wa kuchambua mambo, waki zero -in katika hoja dhaifu kabisa kama za GT.
Tatizo lao wanataka kucheza mpira wasioufahamu hapa bongo.Habari wanazopata ni za humu JF na magazetini.
Nampa credit KMPP(Kayanza Mizengo Peter Pinda) kwa kutread carefully kati ya makundi hasimu ndani ya CCM.
Vile vile he rightly blasted wale wa anti-muungano katika SMZ. Na hii ni baada ya kuusoma vyema upepo wa kisiasa na kuwa furahisha waBara.