Report ya benk ya dunia (WB) ya 2016.

Mwendo Kasii

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
203
Reaction score
212
Report ya benk ya dunia (WB) ya 2016. yaonya kuwa uchumi wa taifa letu Tanzania utapolomoka karibu kwa asilimia 5% kwa mwaka huu.

Kwa dalili hii inawezekana tukaipoteza nafasi ya 10 tulionayo ya uchimi Africa. Ikumbukwe uchumi wetu umekuwa ikishikilia nafasi ya 10 kwa uchumi mkubwa Africa.

My take. Serikali inahaja ya kutafuta way solution za kuepusha kupolomoka kwa uchumi na kuyumba kwa taifa ili kuinusuru Tanzania na ni vyema Juu ya Hali ya Nchi, Mjadala wa kitaifa ukachipua sasa kuhusu hali ya uchumi wa nchi yetu.


 
Reactions: BAK
Tunao wasomi wengi sana na wataalamu chungu nzima amabo wakikaa pamoja wanaweza kutoa mapendekezo. Nchi kukosa midahalo ya maana kuhusu uchumi ni tatizo. Nadhani ni mda sasa wa vyombo vya habari kuandaa midahalo na kualika watu ambao watatoa maoni yao. Sisasa zikae kando kwenye maswala ya kiuchumi.
 
Mungu wa Ikulu kishasema hataki mtu amcheleweshe katika speed yake ya kusambaratisha uchumi wa nchi na huyo majaliwa kwa hofu aliyojazwa na Magufuli ameamua kudanganya umma wa Watanzania, "Hakuna dalili ya uchumi wa Tanzania kuanguka"
 

Weka chanzo hapa wote tusome!
 
Ni kazi bure kama Mkuu hasikilizi mtu bali mawazo yake mwenyewe
 
Mara nying report za WB zimekaa kitakwimu sana si kiualisia wa maisha ya watanzania mpaka mwezi feb uchumi wetu ulikuwa unapanda kwa 5.6% na mfumuko wa bei ulikuwa chini ya 5.1% na kuna uwezekano mfumuko wa bei utashuka mpka wastani wa 4.9% ndani ya miezi michache ijayo na pia watanzania wanaoishi kwa umasikini idadi inaendelea kupungua mpka sasa ni 28.9%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…