Reporter wa BBC apotosha makusudi

Kiziza

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
439
Reaction score
77
Nimesikiliza BBC matangazo ya jioni,reporter wao kutoka Dodoma akasema kuwa Bunge limehairishwa baada ya wabunge wa kutoka Zanzibar kutoka nje ya bunge, badala ya kusema wabunge wa kutoka Zanzibar na wabunge ws upinzani,na mpaka mwisho hawakufanya masahihisho yoyote, ushabiki sio mzuri wakati watu wote tumeona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…