Tafadhali kwa anayejua tarehe ya kuripoti chuoni hapo, MIST, anijuze. Kwa sababu nimecheki kwenye NACTE nimeona jina langu nimepangiwa Mbeya Institute of Science and Technology. Kwenye website ya chuo hakuna taarifa zozote kuhusu bachelors, iwe waliochaguliwa kujiunga wala tarehe ya kuripoti,ukifungua website yao (
Index of /) news zote ni za wale wa diploma tu. mwenye taarifa zozote tafadhali.