Baada ya kutenguliwa kwa uchaguzi wa tarehe 8/8/2017, Rais Kenyatta alinukuliwa akiwaita majaji hao kuwa ni wakora. Hizi sasa, dalili zaonyesha kuwa kuna ukweli kiwango fula.
Baada ya document iliyoitwa "Judiciary Capture" kusambazwa mitandaoni, Mahakama imetoa website yake mtandaoni kwa kile kinachosemekana ni njama ya kuficha ukweli. Hivi sasa ukienda www.judiciary.go.ke , hupati chochote.
Baada ya hapo, petition limepekwa kwa Judicial service commision kuomba hao majaji wachunguzwe. Kwa kweli fisadi ni fisadi tu.
Baada ya document iliyoitwa "Judiciary Capture" kusambazwa mitandaoni, Mahakama imetoa website yake mtandaoni kwa kile kinachosemekana ni njama ya kuficha ukweli. Hivi sasa ukienda www.judiciary.go.ke , hupati chochote.
Baada ya hapo, petition limepekwa kwa Judicial service commision kuomba hao majaji wachunguzwe. Kwa kweli fisadi ni fisadi tu.