Repoti: Majaji Waliotengua Uchaguzi wa Kenya ni Wakora

Hizi zilizobaki ni propaganda zenye lengo la kuwavuruga majaji lakini ukweli ulishakuwa wazi kura baadhi zilikuwa miscalculated.
 
Soma line after line alitumia people in disguise close relatives Hadi their contacts.. don't bring your feelings into such a matter....
 
Logical n critical thinking....
 

The same jubilee guy filed a petition to bar raila odinga azuiwe kugombea urais 2017 akapoteza ombi hilo. ni mwanaharakati wa jubilee wanaoishi kuchuma kutoka mlengo wa kisiasa unao egemea.

kuimbuka na mbinu kadhaa za kutafuta hela sio jambo geni kwa hawa matapeli!!! Na kutumika na wandani wa rais kuwazilishi nyalaka kotini kwa kupata commission for services rendered. kazi bure tu!! uvumi wa jubilee huu!!
 

polisi wa jubilee kwa nasa demos katika eneo la supreme court

thubutu....muone kwa nini kanga hana manyoya....


kwa jubilee demos supreme court..karibuni kotini

 
There is a difference. Was anything destroyed? Can you assure the same when Naswa demonstrates? Was the court in session?
 
Maragas ruling will be a shocker. Msicheze mbali na luninga zenu.
 
Soma line after line alitumia people in disguise close relatives Hadi their contacts.. don't bring your feelings into such a matter....
kwahyo it had to be orengo sijui wetangula why not ndii or magaya this is rubbish just as the other memorandum of understanding of NASA and thr sponsor

nyie jiandaeni na uchaguzi sio propaganda wwe kwa akili zako secret service haikujua wala jubilee haikujua huku watu wanafanya meeting kwenye public place??


This is funny
 
Wavumilie tu hawa Jamaa zetu! Tumewazoea kwenye majukwaa ya watz kama 'Siasa'. Wao ni kubisha kila kitu, wanajifanya wajuaji wa kila kitu.
Walitakiwa wajifunze zaidi mazingira ya Kenya kupitia kwenu, au ku pose inquisitive questions ili kupata mwanga au bases za disagreements kama zipo, na siyo lugha kali kama 'we muongo', 'hesabu zako za wapi', 'we mpotoshaji'
Poleni, lakini kuna wengine wengi tunajifunza mengi na siasa za Kenya kupitia posts zenu, hata kama tuko silent. Asanteni kwa hilo.
 
David maraga is an enemy of the people!
 
unajifunza kwa kusoma comments za watu wanaoongozwa kwa feelings Sasa huyo jamaa anaweka hesabu kuwa hayo makabila matatu make up 45% ya votes ila mbona hatoi analysis ya remaining 55% mbona ha hasemi kuwa waluo waluhya kisii wakamba have 13,14,6 and 11 percent respectively meaning they also have 44% let alone wamasai ambao nao sio less than 4% ambao pia huwa ni ngome ya odinga



fanya utafiti mkuu ukisubiria comment za wanaobishana humus kisa uchama utadanganyika
 
mbona unatuchanganya tena?? umesema wako 45% ila link uliotuma inaonyesha wakamba waluhya waluo na wakisii wanazidi 40% sasa kipi ni kipi?? mbona huna msimamo maana unataja makabila ila hutaji waliojiandikisha kupiga kura wengi wako stronghold zipi??

Kenya siku mkiacha ukabila ndio mtakuwa role model wa demokrasia. africa ila kwa mapovu haya ya ukabila mtachinjana soon
 

Asante. Ongezea Uhuru Wakisii maanake alipata majority huko pia.
Alafu ujifunze maana ya stronghold na swing vote.

Raila stronghold yake ni waluhya, wakamba na wajaluo.
Uhuru yake ni kikuyu, kalenjin, meru na embu. Naongea kabila ambazo zitampa kura 99%.

Waliojiandikisha kura wanatoshana in terms of percentages. Pande zote mbili, Nasa na Jubilee, hujigamba wako mbele kwa registration, ilhali ukweli ni kwamba percentage-wise wanatoshana.
Hakuna eneo lililo jiandikisha kuliko lingine kwa asilimia kubwa.
 
Kwann most expensive tallying system I-fail? Mbona kwingine isi-fail? Maraga kasema iki-fail tena anafuta matokeo...ohooo leteni mchezo [emoji23] [emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…