Repoti yako ya mwaka 2010 imetoka!!!

ni kama ifuatavyo:-

kuoga d+,

wivu b+,

uvumilivu e,

uchokozi c+,

kuzurura a,

kulala uchi a,

kuchukua bibi za watu a,

siasa a,

kupewa maji a,

kutumia kondom e,

kwenda kanisa e,

kutongoza watoto b,

uhuni a,


kuoga........c

wivu...........f

uvumilivu......e

uchokozi........a

kuzurura.........c

kulala uchi.......b

siasa.........b

kutumia kondom.............not applicable

kwenda kanisani.............b

kutongoza..............not applicable

uhuni............f
 

hapo wivu f nazani umechakachua, naomba usibishe tuna ushahidi kamili kabisa
 
wapi guardian angel wangu....miguno hiyo!

mmmhh hilo jina hilo mmmhhh
we acha tu lol

nway nitaka kuichakachua hi thread ..
jini maimuna akanipitia dear
na dhani ajili jana usiku nilimpitia bibi Nyau
hahahahahah lol
 
kwahiyo wewe huwa una lala huku umejifunika na nyumba kabisa

ndo maana yake
na kale ka nguo kamoja tu huko chini

mmmmhh wakatii wa winter
unazama kwenye electric blanket
hahah lol
 
huwa nachokoza sana, just keep in touch, hata hapa jamvini nimeishachokoza kadhaa. we muulize polisi wakati wa machafuko ya arusha nilimpiga kijembe bab kubwa
Hawa watungie shairi fupi hawataelewa anyway lol!
 
ndo maana yake
na kale ka nguo kamoja tu huko chini

mmmmhh wakatii wa winter
unazama kwenye electric blanket
hahah lol

kuna ile natural blanket yako moja inaitwa fainest hivi iko wapi?
 
hapo wivu f nazani umechakachua, naomba usibishe tuna ushahidi kamili kabisa

Please mezea hilo,niko kimkakati zaidi hapo kuliko reality Klorokwini,najishaua mwenzio nitoke......:A S 20::twitch:
 
dah! umentamanisha ujue. if laputop screens could talk...........they would say klorokwini is currently breathless
Comedian wetu inabidi nikueleze ukweli hupati mtu kwa sababu unatangatanga sana kwa Hus mbona ulikaribia kutoka think kloro think hahaha!
 
hii yote
ni ajili ya easy accesses ajili yake dear..(TF)

mmmhh maana nimemdekeza...
si waja tena hahaha lol

dah! sisi wengine hapa naona inasomeka "access denied" tuinstall software gani ili tufanikiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…