Repoti yako ya mwaka 2010 imetoka!!!

Comedian wetu inabidi nikueleze ukweli hupati mtu kwa sababu unatangatanga sana kwa Hus mbona ulikaribia kutoka think kloro think hahaha!

husninyo hata senksi hatoi, unazani atatoa maliasili? think! uporoto think!
 
mkuu mbona umeingia kwenye sredi bila cheti? weka matokeo yako bana
Mshikaji nasumbuliwa sana na mambo ya copirait hii thread niliiwekaz kule jokes jamaa kaileta hapa bila idhini yangu baada ya kuikarabati kidogo na juzi kati ile ya modenazeshen of women niliibiwa na Sokomoko Loya wangu inabidi usaidie.
 
dah! sisi wengine hapa naona inasomeka "access denied" tuinstall software gani ili tufanikiwe?

hahahahahhh lol
kuna software inaitwa "TOUCH GENTLY"
uki follow instraction zote

mmmmhhhh utaona raha zote dear..
hhahahaha lol
 
hahahahahhh lol
kuna software inaitwa "TOUCH GENTLY"
uki follow instraction zote

mmmmhhhh utaona raha zote dear..
hhahahaha lol

yule muuza duka kaniuzia "rough is better" dah acha niirejeshe.
 
Mshikaji nasumbuliwa sana na mambo ya copirait hii thread niliiwekaz kule jokes jamaa kaileta hapa bila idhini yangu baada ya kuikarabati kidogo na juzi kati ile ya modenazeshen of women niliibiwa na Sokomoko Loya wangu inabidi usaidie.

duuhh hii kweli niliwahi kiona kwenye jokes..

nway unatakiwa ununue protection ya mali zako mpendwa lol
Pole ae
 
There are currently 7 users browsing this thread. (5 members and 2 guests)

uporoto01
klorokwini
afrodenzi
Hashycool
 
Mshikaji nasumbuliwa sana na mambo ya copirait hii thread niliiwekaz kule jokes jamaa kaileta hapa bila idhini yangu baada ya kuikarabati kidogo na juzi kati ile ya modenazeshen of women niliibiwa na Sokomoko Loya wangu inabidi usaidie.
acha nikafanye revision kidogo, sheria zote zimepotea kichwani baada ya kuona afrodenzi ana A+++ ya kulala uchi. dah!
 
yule muuza duka kaniuzia "rough is better" dah acha niirejeshe.

na hiyo ni sawa kabisa dear..
lakini hiyo ni next level 4 dear..

huwezi ruka hizo tatu hii haitafanya kazi dear..

kama tu umetoka safarini
au kama baada ya kukasirika..
ndo ninge sagest hii
hahahhhahahha lol
 
mkuu umepotea ghafla! au laptopu liliisha chaji? mimi leo silali bana nawakomoa internet provider.

hahahahh lol
hata usijaribu dear..
sasa utarudi kwenye yale ya TF ..
Kugomba na You Tube hahahah lol
hii si sawa na marathon ya panya na chui dear
hahahhaah lol
 
CHETI CHANGU HIKI HAPA

Kuoga A+,

uvumilivu A,

uchokozi A+,

kuzurura A,

kulala uchi F,

kuchukua bibi za watu F,

siasa A,

kutumia kondom F,

kwenda kanisa B,

kutongoza watoto F,

uhuni F,
 
Yuko kwa Diana dabodiff anamzuia Michelle kuwa neshno milingi.
nimeona michelle anataka kuuwa upinzani wa jinsia, dah! kwa kuanzia nazani tumpatieni michelle yule mrembo alomleta cheusimangala wakaprektis kama itawork
 
CHETI CHANGU HIKI HAPA

Kuoga A+,

uvumilivu A,

uchokozi A+,

kuzurura A,

kulala uchi F,

kuchukua bibi za watu F,

siasa A,

,

kutumia kondom F,

kwenda kanisa B,

kutongoza watoto F,

uhuni F,


Duuuh mbona imebadilika gafla dear..
Nilidhani ya kwako ndo ile ulio iweka mwanzoni..
au ndo ini tena dear??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…