Reputable NGO kutokutoa interview feedback kwa candidate

Reputable NGO kutokutoa interview feedback kwa candidate

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,155
Reaction score
1,209
Za asubuhi wakuu,

Kuna NGO nyingine unaweza kudhania kuwa ziko serious kumbe sivyo. Niliomba kazi kwa shirika moja lenye makao yake Australia. Wakanichagua kwenye shortlist, baada ya wiki moja nikafanya mahojiano ya kwanza, halafu baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya pili, na baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya tatu.

Imekuwa siku kumi na moja tangu nifanye mahojiano ya tatu lakini bado sijaambiwa lolote, na walisema wangejibu baada ya siku chache.

Wakuu, je hii ni sawa? Je, na wazungu wana ujinga wa kibongo? Maana waajiri walikuwa Wanaustralia.

Ninajisikia vibaya kwa sababu mahojiano yao ni magumu na hakuna updates kama umepata kazi au la. Na umetumia rasilimali zako kwa ajili ya kazi hiyo.

Ushauri tafadhali.
 
No mkuu ni Australian kabisa, afu sufurahishi genge hapa,,,hawajanipa feedback after 11 days
Mara nyingi muda wa kutoa feedback ni 3 weeks to one month. Basically mapaka atakoporipoti kazini aliedign mkataba ndio wanayoa feedback, endelea kuvuta subra kidogo
 
No mkuu ni Australian kabisa, afu sufurahishi genge hapa,,,hawajanipa feedback after 11 days
Wacheck kwenye email watakujibu immediately hawanaga konakona ukiona e-mail hawajibu wacheck WhatsApp watajibu, MIMI nilifanya hivyo wakanijibu haraka sana
 
Mara nyingi muda wa kutoa feedback ni 3 weeks to one month. Basically mapaka atakoporipoti kazini aliedign mkataba ndio wanayoa feedback, endelea kuvuta subra kidogo
Jamani,, sawaa ila 3month org
Wacheck kwenye email watakujibu immediately hawanaga konakona ukiona e-mail hawajibu wacheck WhatsApp watajibu, MIMI nilifanya hivyo wakanijibu haraka sana
Hawa walinishortlist wiki ya kwanza ya April, nkipiga interview nkaona kimya nkatuma follow up email hawakujibu,baada ya siku 8nkaitwa second interview,,baada ya hapo kimya nkatuma follow up email hawakujibu baada ya 12, days wakaniita second interview,,,so email hawajibu,na mie kuwafata Whatsapp naona sio vizuri,,by the way kazi hiyo uliipata?
 
Mara nyingi muda wa kutoa feedback ni 3 weeks to one month. Basically mapaka atakoporipoti kazini aliedign mkataba ndio wanayoa feedback, endelea kuvuta subra kidogo
Khaa muda wote huo ,, afu tuird interview mnakuwa kama wawili tu, mwezi wote wa Nini kutoa feedback
 
Jamani,, sawaa ila 3month org

Hawa walinishortlist wiki ya kwanza ya April, nkipiga interview nkaona kimya nkatuma follow up email hawakujibu,baada ya siku 8nkaitwa second interview,,baada ya hapo kimya nkatuma follow up email hawakujibu baada ya 12, days wakaniita second interview,,,so email hawajibu,na mie kuwafata Whatsapp naona sio vizuri,,by the way kazi hiyo uliipata?
Pole sana
 
Siku 11 ni chache sana kusema hawajakupa majibu. Sababu zinaweza kuwa nyingi ikiwemo kuwekwa kwenye waitlist kama aliyepata kazi hatofikia makubaliano.
 
Za asubuhi wakuu,

Kuna NGO nyingine unaweza kudhania kuwa ziko serious kumbe sivyo. Niliomba kazi kwa shirika moja lenye makao yake Australia. Wakanichagua kwenye shortlist, baada ya wiki moja nikafanya mahojiano ya kwanza, halafu baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya pili, na baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya tatu.

Imekuwa siku kumi na moja tangu nifanye mahojiano ya tatu lakini bado sijaambiwa lolote, na walisema wangejibu baada ya siku chache.

Wakuu, je hii ni sawa? Je, na wazungu wana ujinga wa kibongo? Maana waajiri walikuwa Wanaustralia.

Ninajisikia vibaya kwa sababu mahojiano yao ni magumu na hakuna updates kama umepata kazi au la. Na umetumia rasilimali zako kwa ajili ya kazi hiyo.

Ushauri tafadhali.
Be patient kuna watu wanasbr feedback mpka mwez na zaid wew siku 11 tu mpk Uzi ushafungua
 
Za asubuhi wakuu,

Kuna NGO nyingine unaweza kudhania kuwa ziko serious kumbe sivyo. Niliomba kazi kwa shirika moja lenye makao yake Australia. Wakanichagua kwenye shortlist, baada ya wiki moja nikafanya mahojiano ya kwanza, halafu baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya pili, na baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya tatu.

Imekuwa siku kumi na moja tangu nifanye mahojiano ya tatu lakini bado sijaambiwa lolote, na walisema wangejibu baada ya siku chache.

Wakuu, je hii ni sawa? Je, na wazungu wana ujinga wa kibongo? Maana waajiri walikuwa Wanaustralia.

Ninajisikia vibaya kwa sababu mahojiano yao ni magumu na hakuna updates kama umepata kazi au la. Na umetumia rasilimali zako kwa ajili ya kazi hiyo.

Ushauri tafadhali.
Kukupatia mrejesho inategemea vitu vingi internally ambavyo wewe huwezi kujua mfano
-inategemea HR policy yao inasemaje kuhusu hilo.
-Sometime unaweza kuta hiring team ipo busy na issue zingine. Sasa unakuta wewe kwa haraka uliyo nayo unafikiri wakilala wakiamka wanafuatilia tu issue yako.
-Sometime unaweza kuta hiyo nafasi haihitaji mtu kwa haraka kama unavyowaza wewe.
-Sometime inaweza kuwa kuna mtu tayari wamepata wanaendelea na majadiliano ya kumpa mkataba na ambapo wanavutana so muda unakuwa unaenda sasa katika hali kama hii hawawezi kukujibu kama kazi umepata au hujapata maana hawajaconclude kuwa wamempata/hawajampata mtu.
-Sometime based on the interviews zilizofanyika unaweza kuta position ikachange pia sasa conclusion juu ya hili huchukua muda maana hapo kuna issue kadhaa za kutazamwa kama budget, reporting lines n.k.

Yote kwa yote wewe mtumainie Mungu
 
D
Siku 11 ni chache sana kusema hawajakupa majibu. Sababu zinaweza kuwa nyingi ikiwemo kuwekwa kwenye waitlist kama aliyepata kazi hatofikia makubaliano.
mkuu sahivi kitaa kilivyo kigumu Mtu akatae salary ya 2m maana salary ilikuwa wazi.
Be patient kuna watu wanasbr feedback mpka mwez na zaid wew siku 11 tu mpk Uzi ushafungua
Mwezi mkuu imekuwa Utumishi.
 
Kukupatia mrejesho inategemea vitu vingi internally ambavyo wewe huwezi kujua mfano
-inategemea HR policy yao inasemaje kuhusu hilo.
-Sometime unaweza kuta hiring team ipo busy na issue zingine. Sasa unakuta wewe kwa haraka uliyo nayo unafikiri wakilala wakiamka wanafuatilia tu issue yako.
-Sometime unaweza kuta hiyo nafasi haihitaji mtu kwa haraka kama unavyowaza wewe.
-Sometime inaweza kuwa kuna mtu tayari wamepata wanaendelea na majadiliano ya kumpa mkataba na ambapo wanavutana so muda unakuwa unaenda sasa katika hali kama hii hawawezi kukujibu kama kazi umepata au hujapata maana hawajaconclude kuwa wamempata/hawajampata mtu.
-Sometime based on the interviews zilizofanyika unaweza kuta position ikachange pia sasa conclusion juu ya hili huchukua muda maana hapo kuna issue kadhaa za kutazamwa kama budget, reporting lines n.k.

Yote kwa yote wewe mtumainie Mungu
Mkuu unaonekana upo konki sana,,,,Kwa Ile nafasi ilivyo haiitaji uharak coz Kuna watu 7 so walikuwa wanaongeza mtu wa nane,,ubize ni kweli maana interview ilikuwa nafanya na country Manager na Mama yupo Australia,,,huyo ndo yupo busy sana,,interview nilizofanya mara nyingi zilisababishwa na ubize wa yule mama, imagine toka no fanye application miezi miwili na nusu imepita ila Bado ni ma interview tu
 
Back
Top Bottom