kasambalakk Senior Member Joined Apr 2, 2011 Posts 126 Reaction score 17 May 20, 2013 #1 habari za sasa hivi nafanya research naomba mtaalamu wa kuedit kabla sijakusanya anaweza PM pamoja na gharama zake zote kazi ina page kama 60.
habari za sasa hivi nafanya research naomba mtaalamu wa kuedit kabla sijakusanya anaweza PM pamoja na gharama zake zote kazi ina page kama 60.
MENISON JF-Expert Member Joined Apr 26, 2013 Posts 726 Reaction score 621 May 20, 2013 #2 wasubirie watakuja aanyway kuna mdada hapa anajua kuedit mpaka namuogopa ukimpa page 60 hata saa haiishi keshamaliza ni anatisha sana ..yupo kimara dar nitafute
wasubirie watakuja aanyway kuna mdada hapa anajua kuedit mpaka namuogopa ukimpa page 60 hata saa haiishi keshamaliza ni anatisha sana ..yupo kimara dar nitafute